Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu

[237]

 

Kristo na Uungu

(Toleo La 2.0 19980209-20090906)

 

Jarida hili lililoandikwa na A E Knoch lilikamilika kipindi fulani kilichopita na ni mchango wa muhimu sana kwa masomo na usomaji wa teolojia inayohusiana na Uungu. Linashughulikia mambo kadhaa yatokanayo au yaliyopo kwenye biblia yanayoonesha sababu ya Waunitari kuamini kuhusu umoja wa Mungu. Uhusiano uliopo kati ya Yesu Kristo na Mungu na muundo uliopo kuhusu dhana ya uungu wa Masihi umewekwa kwenye mwonekano sahihi na unaoeleweka. Mtazamo wa kiteolojia wa Knoch umechambuliwa kwa kina zaidi kwenye kanda iliyorekodiwa kwa audio.

 

A E Knoch alikuwa ni Myunitariani ambaye tangu ujana wake alijitoa maisha yake kwenye kazi ya kutafsiri Biblia. Matumizi yake ya kila wakati ya vitabu vinavyofafanua maana halisi iliyotomika kwenye uandishi wa lugha asilia za Kiyunani na Kiebrania yalimvutia sana na kumpa hamasa ya kuona umuhimu wa kuitafsiri Biblia kutoka kwenye toleo la Kiingereza kibovu au kisichofasaha hadi kwenye toleo lililokuwa halijawasilishwa na lisilbagua lililojulikana kama Toleo hili lisolo Fasaha maarufu kama The Concordant Version.

 

Alikuwawa ni mwandishi mahiri aliyefanya kazi bega kwa bega na E W Bullinger ambao walifanya kazi ya kusahihisha makosa yaliyofanyika wakati wa kutafsiri na kuandika toleo la Biblia ya Kiingereza. Yeye pia aliandika makala kadha wa kadha kutokana na maandiko ya Dkt Bullinger.

 

Sambamba na vitabu kadhaa alivyoandika, aliandika jarida lilichapishwa na kutolewa kwa vipindi kadhaa lililojulikana kama "Unsearchable Riches" (Utajiri Usiofeanyiwa Utafiti) kweiye kipindi cha mapema ya miaka ya 1900, jarida ambalo bado lingali likichapishwa n kutolewa kila mwezi hadi leo. Licha ya vitabu hivi na makala zake, mtu huyu pia alikuwa mahiri wa kuandika tungo za muziki au nyimbo na mashairi.

 

Kuna shirika lisilo la kibiashara na la kujitolea huko California, liitwalo Concordant Publishing Concern, ambalo linashughulika na ugavi na usambazaji wa machapisho yake sambamba na mengine mengi ya imani ya mrengo wa Wayunitariani wanaoamini imani inayofanana ya kiteolojia.

 

Christian Churches of God

PO Box 369,  WODEN  ACT 2606,  AUSTRALIA

Email: secretary@ccg.org

 

Imechapishwa Mwaka 1998 (na kurekrbishwa 2009) kwa ruhusa ya Concordant Publishing Concern

(Tr. 2015)

 

Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia.  Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.

Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni katika tovuti yetu ya:
http://www.logon.org na http://www.ccg.org


Kristo na Uungu

Umbo au Mfano wa Mungu Asiyeonekana

 


Kumbuka: Tulishauri kwamba watu wasikilize kutoka kwenye tepu ya audio sambamba na wanaposoma machapisho au jarida hili, kwa kuwa ni muhimu sana kwa ajili ya kuelewa maandiko haya na mahala pake kwenye teolojia.

 

“lakini kwetu sisi Mungu ni mmoja tu, aliye Baba, ambaye vitu vyote vimetoka kwake, nasi tunaishi kwake; yuko na Bwana mmoja Yesu Kristo, ambaye kwake vitu vyote vimekuwapo, na sisi kwa yeye huyo.” (1 Wakorintho 8:6). Hapa tuna maajabu makubwa yenyewe na maana ya kuangalia au kuitilia maanani ya uhusiano ambayo tunadumu kwayo kwa Mungu na kwa Bwana, ambayo kwa namna nyingine au kinyume chake yanatoa mwanga mwingi kwenye uhusiano wake wa muhimu wenye mwingilino kwa kila upande. Kwa kuweka kiufupi sana, ni kwamba Mungu ndiye Kiini au Chimbuko na mlengwa wa wote; Kristo ni Mkondo wa wote; na ndiye anaonekana kila wakati. Hatujaambiwa kamwe kabisa kuwa kumetokana na Kristo, bali ni tunatokana na Mungu. Kwa kweli, Kristo anasema kwamba yeye mwenyewe alitoka kwa Mungu (Yohana 8:42). Vyote vinatokana na Mungu (Warumi 11:36). Ila Mungu kamwe hashughuliki na sisi isipokuwa ni kwa kupitia kwa Mtiwa Mafuta wake. Uumbaji ulianza kwa kupitia Mwana wa Mungu na alichukuliwa na kutengwa mbali na yeye. Ana umuhimu wa namna sawa tu kwenye ukombozi. Hakuna mgongano, kwa kuwa, wakati Mwana akiwa ni Mfano wa taswira ya Baba, ameruzukiwa kwa mazingira fulani kutenda mambo kwa uwakilishi sawa na Mungu na hata kupokea heshima kwa kiwango sawa kama Baba, wakati yeye mwenyewe badi anasisitiza kwamba Baba yake ni mkuu kuliko yeye na ni mkuu kuliko mwingine yeyite (Yohana 10:29). Chochote alichowahi kuwanacho alipewa na Baba. Maisha yake yote na kuishi kwake kulikuwa ni zawadi (Yohana 5:26), na aliishi kwa uweza wa Baba (Yohana 6:57). Aliyatenda na kuyafanya mapenzi ya Baba, na sio mapenzi yake mwenyewe. Alitafuta utukufu wa Baba, na sio wa kwake mwenyewe. Alikuwa ni nia moja na Baba, na alitamani kwamba wanafunzi wake wawe ni warithi wa umoja au muungano kama hua (Yohana 17:22). Ili kwamba, yeye mwenyewe alikuwa kwenye mwelekeo wa namna hiyohiyo, kutokana na Baba. Kwa namna nyingine, yeye ndiye njia ya pekee ya kumwona Baba, ni namna ya pekee ambayo kwaye twaweza kumjua Mungu. Kwa hiyo basi, wakati vitu vyote vikifungamanishwa na kuwa chanzo chake ni Mungu Baba, vitu hivi vyote vimefungamanishwa na Mwana. Ni mfungamanisho wa karibu kwenye lugha halisi ya Maandiko Matakatifu ambayo tunaweza kutumaini kupata mtungo halisi wa uhusiano wa Baba na Mwana.

 

Sauti ya msisitizo ya Maandiko Matakatifu ya kwamba kuna Mungu mmoja tu imekuwa ikipuuzwa kwa ujanja na kwa hila ya hali ya juu na mafundisho yaliyoshamiri na kuaminika na wengi ya imani ya “mungu wa utatu”. “Wakati tunapohitaji kuujua uhusiano uliopo wa washirika wa “utatu” kwa kila mmojawapo, tunakutana na dhana potofu na isiyo na maana na isiyo na mashiko waka kuweza kulinganishika, pamoja na kuwa haina uhusiano wala uhusiano na maandiko matakatifu, na wala hakuna vifungu au aya zinazounga mkono dhana hiyo. Ila Maandiko Matakatifu yameandikwa ili yatuwezeshe kumjua Mungu na Kristo wake, na kuna umuhimu wake mkubwa sana ambayo tunamtoa yeye na kumfanya yeye afanane na Maandiko Matakatifu.

 

Kristo anafananishwa na mungu

Ufunuo wa Mungu unakuja kwetu kwa kupitia milango miwili ya ufahamu wetu, kuona na kusikia. Ujumbe wake unapokelewa kupitia macho yetu au masikio yetu. Tunausikiliza na kuusoma au tunauona kwenye kurasa zake. Tunausikiliza kwa makini au tunasoma maelekezo yake ya ufafanuzi kwa mwonekano wa kimaandishi. Kristo ni ufunuo ulio hai wa Mungu. Wakati anapoonekana au kusikika, tunaona na kumsikia Mungu mwenyewe halisi ambaye ndiye Amemuwakilisha. Masikio yetu hayawezi kupokea sauti isiyotolewa. Macho yetu hayawezi kuona kitu kisichoweza kuonekana. Katika Kristo, kama Mfano wa Mungu na akiwa kama Neno la Mungu, tunaona kufanana kwake na kusikia maneno yake.

 

Maandiko Matakatifu yanatuthibitishia kwa wazi kwamba Mungu haonekani kwa macho na hasikiki kwa njia ya masikio. Hii inaendana, kwa kweli, na Mungu mwenyewe mkamilifu, na sio kwa wale wanaoitwa hivyo kwa ajili ya usaidizi wao (Wakolosai 1:15). Mtume Paulo, alipokuwa anamuandikia Timotheo, kuhusiana na wito wake alioitwa kwa neema tu kubwa, akitohoa kwenye elimu ya masifu na ibada akisema, “17 Sasa kwa Mfalme wa milele, asiyeweza kuona uharibifu, asiyeonekana, Mungu peke yake, na iwe heshima na utukufu milele na milele. Amina!” (1 Timotheo 1:17). Tunaambiwa kuwa Musa, alinuia kuwa mfano au taswira ya Kristo utajiri mkubwa kuliko utajiri na mali za Misri. Kwa imani akatoka Misri, asiogope ghadhabu ya mfalme; maana alistahimili kama amwonaye yeye asiyeonekana. (Waebrania 11:26,27).

 

Hakuna dalili kwamba hali hii ya kutoonekana inahusu na kushindwa kwa kibinadamu. Ni kweli kwamba muono wa kibinadamu ni jambo lililofikia ukomo wake kabisa. Inajiri na umbali mdogo tu. Huenda ni kwamba baadhi ya wanyama wenye thamani ya chini huona zaidi na kwa masafa ya mbali kuliko wanadamu. Hali ya kutoonekana wazi ni moja ya vitu muhimu ya ukamilifu wa Mungu. Yeye ni Roho. Anaufanya ulimwengu udumu na kuendelea.

 

Kadiri tunavyomtafuta na kupenda kumuona ndipo tunapomzonga na kumfanya awe pamoja na mjumuiko wa wanadamu na anapoteza uwezo wa kawaida, ambayo ni jambo lililo mbali au lisilojumuisha Ukamilifu. Hatutaweza kumuona kamwe kabisa, kwa muonekano wa kimwili. Ni kama Musa, tutmuona kwa muonekano usio wa wazi, kwa jinsi ya fumbo. Jinsi iliyowekwa ili kuhitimisha hilo ni Kristo. Mungu haonekani kabisa, sio kwa jinsi ya muonekano kwa uhusiano na nguvu zilizopo sasa peke yake. Hii ni muhimu, kama tunapenda kuunga mkono yale ambayo Kristo anayoyafanya kwa ufunuo wake.

 

Kurasa nyingi zinaweza kutolewa zinazooyekana kukanganya hali hii ya kutoonekana kimwili kwa Mungu. Kuna namna mbili ya ufafanuzi, ambayo yanayo tuama ama kuyahusu haya yote. Mwanadamu hawezi kuelewa lugha yoyote ambayo siyo ya kibinadamu. Kwa hiyo neno la liyunani la anthropopatheia linatumika kwa uhuru mkubwa, ambalo linamfanya Mungu aonekane kama mwanadamu. Anaendelea kupewa sifa na mtazamo wa kibinadamu na kulinganishwa na washirika au viungo mbalimbali vya mwili wa mwanadamu. Wajumbe humtazama uso wake (Mathayo 18:10). Tunasoma au kujifunza kwa macho yake (Zaburi 11:4), Masikio yake (Zaburi 18:6), Kinywa chake (Kumbukumbu la Torati 8:3), Midomo yake (Ayubu 11:5), Viganya vyavmikono yake (Isaya 62:8). Mikono yake (Zaburi 8:6), Miguu yake (Isaya 60: 13). Sambamba na hiyo amepewa hisia za kibinadam, na ujinga, na mbinu nyingine nyingi inayomfanya aonekane kama mwanadamu ili tuweze kumuelewa au kumjua.

 

Mfano wa Taswira ya Mungu

Kwa mambo fulani mengine hata hivyo, anawakilishwa kwa taswira ya Umbo lake. Adamu alimuona Mungu kwenye bustani, Ibrahimu alimkaribisha hemani mwake, Musa alikutananaye mlimani, Yoshua alikutana naye huko Yeriko. Ukutanaji huu ulikuwa ni wa moja kwa moja na kimwili, uso kwa uso, kihalisia, ni utembeleaji alioufanya wa kuonekana, yeye ambaye ni Taswira ya Mwonekano na Umbo na Neno la Mungu. Kwa hakika waliona mwonekano wake na alisikia sauti yake. Hili anatuambia Bwana wetu, kuwa sio rahisi kwa Baba (Yohana 5:37). Wakati Filipo alipotaka aonyeshwe Baba, Bwana wetu alimwelekeza kwake yeye mwenewe. “Aliyeniona mimi amemwona Baba” (Yohana 14:8-10). Kisha anaendelea mbele kwa kuonyesha kwamba yeye sio tu kuwa ni Taswira ya Mungu, bali ni Neno la Mungu. “mimi siyasemi kwa shauri langu;” “mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu.”

 

Kwa mtazamo mdogo tulionao ni kwamba wote wawili, yaani Mwana na Baba wanaonekana kwa wakati mmoja. Hii hutokea kwenye maono peke yake. Kwenye ufunguzi mkubwa wa maono ya kiti cha enzi kwenye Ufunuo, Kristo anaonekana kama Mwanakondoo au kondoo mchanga, wakati kuwa Mwingine anayeketi juu ya Kiti cha Enzi. Yatupasa kujua kuwa hii sio kitendo cha moja kwa moja kimwili. Ni maono. Kristo kwa kweli hatakuwa ametokea kwa umbo la mnyama, wala Mwenyezi hataweza kubadilika kuwa na umbo la mtu wa umbo adhimu. Maono hayafanyiki kwa kitu chenye umbo mkanganyo. Bali, kwa hakika, yanadumu na kuendelea na umuhimu wake.

 

Wakati mwanadamu anapofanya ibada kumwabudu Mungu asiyeonekana, kwa kawaida waweka sanamu ili kumwakilisha. Hii ni moja kati ya mambo anayolaumiwa mwanadamu; na kwamba sanamu zao zinamshushia na kumvunjia heshima Mungu na kumshusha kihadhi, kwa kuwa wanamfanya awe kwenye mwonekano unaofanana na wao au jinsi wanavyoona wao au kumuweka kwenye hadhi ya,chini kuliko anavyostahili kuwa (Warumi 1:23). Kwa hiyo torati inakataza matumizi ya aina zote za sanamu za kuchonga, na Israeli, kama sheria, wameendelea kuishika kikamilifu sheria hii. Bali ueneaji huu kotekote, karibu ulimwenguni kote, kunapenda kufanya mkanganyo, kujaribu kumfanya Mungu aonekane na ionekane kuwa si jambo baya kwa jinsi ilivyo. Ni udadisi, unaonuia kujaribu kuonyesha hisia ya umbo la Mungu, na Mungu anaridhia hilo kwa kumpa mwanadamu Umbo halisi la jinsi alivyo kwa njia ya Kristo.

 

Huenda hakuna fundisho linguine lolote linalohitaji udadisi tunaouhitaji na kuufuatilia kwa haraka kwa namna ya kutumia maneno mazuri. Kama tunaanza kwa maneno yasiyo na teolojia ya maandiko matakatifu, twaweza kutarajia kutuama kwenye lindi la mkanyanyiko ambalo teolojia imehusishwa. Mfano wa hilo unakaribia. Kwa kuanzia kiini cha jambo hili, mwandishi wa siku za hivi karibuni anasema: “Wakati Mungu akiwa ni Roho tu na asiyeonekana, ambaye hakuna mtu aliyewahi kumuona au anayeweza kumuona, bado kusudi la uumbaji aliliweka kusudi la kufanya kielekezo vilivyoendana sawa majina ya wadhifa wake. “Mfano wa mwonekano na taswira ya Mungu asiyeonekana.’ ‘Umbo la Mungu,’ na ‘Neno,’ na kwa kusudi na lengo la ukombozi nab ado anazidi kujifanya kuwa wa kawaida kwa kujifanya kuwa ni mtu wa kimwili na kuketi katikati yetu, pamoja nasi, akiwa kama Mwana wa Pekee wa Baba. Licha ya kujinyenyekesha kwake huku kote. ...”

 

Maneno yaliyowekewa mlalo mwembamba ya kiitaliki ni yetu sisi, kwa kuwa tunataka kuvuta hisia kwenye neno la kibiblia la kujishusha, ambalo ni la muhimu kwa dhana iliyokusudiwa na kuwekwa. Kama hili lingekuwa ni kweli basi ndipo moja ya fundisho kuu zaidi kwenye Maandiko Matakatifu lingekuwa ni Kujinyenyekeza kwa Mungu. Lakini hakuna fundisho kama hilo. Kila mara ametajwa kuwa ni Kristo na sio Mungu, ndiye aliyejishusha mwenyewe au kujinyenekesha. Wazo la kujinyenyejeza halihusiani wala kwendana na nyadhifa hizi zinazopigiwa chapuo. Huyu aliye taswira na mfano wa Mungu alimfanya yeye aonekane alivyo, Neno alimpa maelekezo, na Umbo lake likaudhihirisha Utukufu wake. Badala ya kuweka mipaka ya kimungu, waliondoa kizuizi cha mwanadamu. Neno “kikomo” ni la kukera sana na halipendezi na linatufanya tushindwe kupata nia hasa iliyokusudiwa kiurahisi. Na kinyume chake, maneno ya Tasira, Neno, Umbo, haya yote yalifungamanishwa na maana. Iwapo kama tungechagua neno moja ili kuwakilisha maana ya haya yote matatu, basi tungesema kwamba yanamaannisha kitu kimoja tu ambacho ni uhusiano na Mungu, lakini pasiwe na sababu ya kusema kikomo.

 

Kwa ufafanuzi mwingine wa kimawazo yetu; hebu na tujifunze maeneo mengine mawili linapoonekana neno hili “taswira” kwenye Maandiko Matakatifu. Yeye ambaye ndiye Tasira ya Mungu, na aliyenena kwa namna ambayo hakuna mtu aliyewahi kunena, akitumia hilo kwa kushindana Wayahudi. Kwa kutumia kipande kidogo cha sarafu ya fedha, cha dinari, alisema, “Ni nani mwenye taswira hii na anayetajwa hapa?” Jibu lao lilikuwa, “Ni ya Kaisari.” Aliwajibu, “Akawaambia, Basi, mlipeni Kaisari yaliyo ya Kaisari, na Mungu yaliyo ya Mungu. (Mathayo 22:21). Picha hii kuenda ilikuwa ni kama ile iliyo kwenye sarafu za siku hizi, huenda ilikuwa ni kichwa au alama yoyote ya kitu kilichowakilisha na kuchapishwa kwenye sarafu ili kutambulisha thamani yake au picha iliyowafanya watu waamini kuwa ilikuwa inamuwakilisha mfalme mawazoni mwao. Mahudhui ya kifungu chote hiki yanakusudia kuonyesha alama au taswira wakilishi. Ukweli wa kwamba walikuwa wanatumia fedha iliyotengenezwa na Warumi uliashiria utii wao kwenye dola ya Rumi. Walikuwa chini ya himaya ambayo sanamu yake ilioneshwa kwenye sarafu zao. Sanamu hii ilikuwa na sehemu tu ya ufananisho wake. Ilitengenezwa kwa madini ya chuma, na sio ya mwili na damu. Ilikuwa ni kipande tu cha sehemu ya ile ya zamani asilia. Huenda ilikuwa inaonyesha taswira ya sehemu tu ya mwili wake wote, nah ii ni vigumu sana kujua jinsi mtu mwenyewe alivyokuwa mwili wake wote. Lakini ilikuwa bado inamuonyesha jinsi ya alivyokuwa, hususan jinsi alivyokuwa kwa wale waliokuwa wanatumia sarafu yake.

 

Kutokana na mifano hii, iliyotolewa na huyu Taswira ya Mungu mwenyewe, twaweza kuwa tayari kabisa kuona na kuamini kwamba, huyu Taswira ya Mungu, hahitaji kuwa ni mtu mmoja “yule yule” kama wanavyodai wanateolojia, na wala hahitaji kuwa na umbo au mwonekano wa namna moja, na wala hahitaji kujidhihirisha au kuonyesha kila jambo au kila wakati wa vipindi vya kuishi kwake Mungu, bali anapasa kuwa ni alama au mfano wa uhusiano uliopo kati ya Mungu na mwanadamu – upendo wake, uweza wake, hekima yake, na neema yake. Muono wake unapasa utuvutie sisi na lolote tunaloweza kulipata kwa maono ya Mungu.

 

Wakati tunapotafuta hilo ili kutoa maana na kuyadhibiti mawazo yetu kikamilifu yanayoamini neno hili taswira, basi mtu na asidhanie kwamba Kristo sio zaidi yah ii. Yeye ni Mng’aro au nuru wa utukufu wa Mungu. Kwa kweli, sanamu au picha ya Kaisari iliyokuwa kwenye sarafu iliyokuwa ikitumika huenda haikuwa inaonekana kufanana sana vizuri na jinsi alivyokuwa yeye mwenyewe, na ilikuwa ni duni kustahili kuishangaa. Lakini Kristo sio mwakilishi asiye na uhai, bali ni ashirio la yeye mtoa uzima. Kama macho yetu yakifunguka, tunamuona yeye kama alivyoonekana alivyotokea mlimani, na wala sio akiwa na mwali wa mduara juu ya kichwa chake, bali akiwa amezungukwa na haiba ya utukufu wa Mungu. Kwa kweli, mwonekano wa utukufu wa Mungu haupo kwenye uwezo wa muono wa macho ya mwanadamu, kwa hiyo, yeye ni Nuru ya utukufu wa mng’aro wa Mungu asiyeonekana (Waebrania 1:3). Yeye ndiye ambaye taswira ya Mungu inapaswa ionekane kwake, uwakilishi wa kinadharia ya Chanzo chake asilia. Kumuona Kristo ni sawa na kumuona yeye ambaye hakuna mtu aliyewahi kumuona wala atakayeweza kumuona. Badala ya kuwa na ukomo kwa njia ya kifo kwa kuona, ni kama tungalivyoweza kuwa kwenye ukamilifu wa Kimungu, tumepewa uzima, na uweza wa kuuona utukufu wake, na huku, sisi wenyewe tukiirithi haiba hii na kufanyika kuwa sawa na yeye.

 

Ukweli wa kwamba sisi, tukiwa ndani yake, tunafanyika kuwa na haiba iliyo sawa na kama Mwana wa Mungu ingeweza kusaidia mioyo yetu kuuelewa usawa au mlingano huu wa Kristo alivyo kwa Mungu wake. Bwana wetu hayupo peke yake kwenye mahusiano yake. Anapaswa kuwa ni Mzaliwa mkubwa wa Kwanza na sisi tu ndugu zake wadogo. Mungu anatafuta jinsi ya kuijaza dunia yake na viumbe walio sawa nay eye, kwenye kchakato wake wa kuupatanisha ulimwengu. Hili ndilo kusudi la Mungu kwa jinsi linavyoonekana. Hakumkusudia mtu yeyote aokolewe kwa upendeleo. Kitendo hicho kisingeweaza kuhitimisha lengo lake. Tumeokolewa ili tuweze kuwafikia wengine. Mwisho wetu haupo kwa mrengo usiofaa. Ni uimarisho wa kumthibitisha Mwana wa Mungu. Tutakuwa na fursa ya thamani sana ya kupewa heshima sawa ya kufanywa sawa na Mungu asiyeonekana. Hiki ni kiwango cha juu sana cha heshima ya mtu kujaliwa kupewa fursa ya wokovu, ni kitu alichokinena Mtume Paulo kuwa ni ufunuo wake mwenyewe (Warumi 8:29). Tunameuvaa mwili wa udongo sasa. Tutauvaa mwili wa Kimbinguni baadae (1Wakorintho 15:49). Ni mchakato endelevu unaoendelea sasa. “Lakini sisi sote, kwa uso usiotiwa utaji, tukiurudisha utukufu wa Bwana, kama vile katika kioo, tunabadilishwa tufanane na mfano uo huo, toka utukufu hata utukufu, kama vile kwa utukufu utokao kwa Bwana, aliye Roho.” (2Wakorintho 3:18). Tunafanywa upya kwa kutambulika au kujulikana, kwa kuwa sana wa haiba ya Yeye aliyetuumba (Wakolosai 3:10). Wakati huu mwili wa kufa utakapomezwa na uzima, ndipo tutang’aa kama sura na umbo la Wapendwa wake Mungu.

 

Ndipo tutakapoirithi haiba ya kimbinguni pamoja naye na atayafanya mawazo yetu yenye uelewa dhaifu yabadilike kutoka kwenye mwingiliano na Umbo la Mungu ambalo litapaswa lijulikane na Uungu. Uwezo wa kufikiri kikamilifu ungelisisitiza kwamba ni hiyohiyo itapasa hatimaye iwe kweli kwetu sisi. Ingepelekea angalau kwenye hali ya kufanywa wana wa Mungu na kuwa na mamlaka yake, kama mtu anayefanya tafakari ya kifilosofia ya imani ya miungu ya Nirvana, na rutuba isiyokoma, ikiweka matabaka, sio tu kwa haiba ya Kiuungu, bali ni kwa mfano wake, Bwana wetu Yesu Kristo. Hebu na itoshe tu kusema, uwakilishi wake ni mkamilifu sana kwake yeye Baba, ambao kwamba macho yetu yanatosheka kwa kumuona Mungu ndani yake. Kuna idadi kubwa na isiyohesabika ya sanamu duniani. Kila mmoja anaficha kwa ufanisi mkubwa sana. Ni Mwana pekee ndiye anayemdhihirisha yeye.

 


 

Kristo Kama Neno

 


Kwenye maelezo yalito kwenye maandiko ya Yohana, Bwana wetu anaitwa “Neno”  (kwa Kiyunani: Logos). Neno hili hapa linaendana na jinsi ya usemaji wake unaoitwa Mwambatanisho wenye Kufanana (Hypocatastasis), amba kwamba mfanano wake unachukuliwa na kudhaniwa kuendananayo. Bwana wet uni kama neno lililonenwa na Mungu, ambalo linayadhihirisha mawazo yake. Akiwa ni Neno, Maelekezo, Kristo anatuletea ufunuo wa kumjua Mungu kwa kupitia sauti, ambayo inasikika masikioni mwa watu wake. Ingawaje huu ni mfano duni kwetu na ni kinyume zaidi sana na ufunuo ambao kwao anaufanyka aonekane,  kama Mfano wa uwepo wa Mungu, ingawaje tunakuta kwenye jambo hili la usemi ushuhuda muhimu unaohusiana na uhusiano wa Kristo na wadhifa wa Uungu.

 

Tunapoifikia Yohana 1:1-5 tunachukua msimamo wa hao ambao Yohana aliwaandikia, waliokuwa wanayafahamu Maandiko ya Kiebrania na ambao kwao Yohana alipenda kuwaonyesha kuwa Yesu ndiye Masihi, na ni Mwana wa Mungu (Yohana 20:31). Haanzi kwa kuonyesha ukomavvu wake wa mijadala ya kifalsafa, ila anaonyesha uhusiano uliopo kati ya huyu Mwana na ufunuo mwingine wowote uliotangulia kutabiriwa huko nyuma, Maelezo yanayosema kuwa atafanyika mwili.

 

Ni mfano wa muhimu kwetu, iwe kama tukiliperuzi andiko hili kwa mtazamo wa kifalsafa iliyofichika au kwa mtazamo wa ufunuo wa kizamani. Neno au Logos ya kifilosofia za Logos ni chanzo cha mijadala isiyozima ku cha watu, na ambayo inapofusha akili, na zinafana kazi kubwa na kuzaa matunda kwenye uelewa na kumshukuru Mungu.

 

Wakati ikiwa si muhimu, Itasaidia sana kutumia neno “Maelekezo” badala ya “Neno.” Kichwa cha habari cha kifungu hiki ni Melekezo ya Mungu—ikimaanisha udhihirisho wake au ufunuo wake. Mungu anapenda ajulikane, kuwaambia viumbe wake. Yohana anaanza kwa kutangulia kututambulisha Logos yake, au Neno, au Maelekezo. Kabla Yohana hajaandika, Mungu alikuwa amekwisha jidhihirisha tayari, kama alivyojidhihirisha kwenye Maandiko ya Kiebrania. Yohana anataka kuhusianisha ufunuo wake zaidi na huo ulioutangulia huu, kwa hiyo alitambulisha kwetu ili tumjue yeye aliye Mungu wa Pekee na ambaye ni mlengwa wa wote wawili.

 

“Pamoja naye” aur “kuelekea”?

Mzunguko wa kawaida wa maana ya Yohana 1:1 ni jambo lenye kutatiza kwenye maana yake halisi. Inaposema “Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu” si ufunuo. Bali ni mkanganyiko mkubwa. Hakuna kitu kimoja kilicho peke yake ninachoweza kuwa ndani ya chenyewe. Usemi mmoja unaashiria tofauti, kitu kingine kinachoonekana.

 

Muunganiko wake na ndani yake kwa kawaida kunamaanisha ukaribu na ushirikiano. Hii ni dhana inayokutikana kwa kawaida katika kuelezea uwepo “pamoja na Mungu.” Tulikusudia na kuazimia kuonyesha, hata hivyo, kwamba hili si jambo muhimu kwa kuendelea hadi kwenye injili ya Yohana. Sio kwamba Mwelezaji alikuwa karibu na Mungu au alikuwa pamoja Mungu, ila ni kwamba alielekeza watu wamwelekee Mungu. Kwenye aya ya tatu ya sura ya kumi na tatu, kifungu chenye neno hilihili linaonekana. Ni neno lililo kinyume na kutoka. Neno alitoka kwa Mungu, na akaenda akimwelekea (na siyo pamoja) na Mungu.

 

Huenda namna bora zaidi ya kuipata dhana halisi ya kulazimisha kifungu hiki ni kukisoma kwenye kila mahali kilipojitokeza. Orodha ifuatayo inatoa kila kifungu ambapo maandiko ya Kiyunani, pros ton Theon yanaonekana. Itakumbukwa kwamba mara nyingi imeonekana ikitamkwa hadi au kuelekea kwa. Maranyingi haiwezekani kuingiza neno pamoja na. Ugumu unaikabili katika kujitokeza kutoka kwenye ukweli wa kwamba, kwenye lugha ya Kiingereza, tunaweza kusema kuhusu kitendo kingine chochote, kama vile maombi, tuyafanyavyo kwa Mungu, lakini hatulazimiki kunena kuwa ni kwa yeye au kumhusu Mungu.

 

Yohana

1:1naye Neno alikuwako kwa Mungu,          

1:2 Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.

13:3 alitoka kwa Mungu naye anakwenda kwa Mungu,

 

Matendo

4:24 wakampazia Mungu sauti zao  

12:5 kanisa likamwomba Mungu kwa juhudi.

24:16 na dhamiri isiyo na hatia mbele za Mungu

 

Warumi

5:1 mwe na amani kwa Mungu

10:1 nitakayo sana moyoni mwangu, na dua yangu nimwombayo Mungu

15:17 kuona fahari katika Kristo Yesu mbele za Mungu

15:30 jitahidini pamoja nami katika maombi yenu kwa ajili yangu mbele za Mungu

 

2Wakorintho

3:4 Na tumaini hilo tunalo mbele za Mungu

13:7 Nasi twamwomba Mungu,

 

Wafilipi 4:6 haja zenu na zijulikane na Mungu.

 

1Wathesalonike

1:8 imani yenu mliyo nayo kwa Mungu

1:9 mlivyomgeukia Mungu mkaziacha sanamu

 

Waebrania

2:17  kuwa kuhani mkuu ... katika mambo ya Mungu

5: 1  Maana kila kuhani mkuu ... katika mambo yamhusuyo Mungu

 

l Yohana 3:21 tuna ujasiri kwa Mungu;

 

Ufunuo

12:5 mtoto wake akanyakuliwa hata kwa Mungu

13:6 Akafunua kinywa chake amtukane Mungu

 

Neno la Kiingereza “with” ni lenye uwiano mkubwa sana wa kupendeza. Lilitumika kuelezea viunganishi kumi na vitatu vya lugha ya Kiyunani. Hivi vina michepuo ya kimaana kama hii, kama vila kuelekea kwa na kutoka, kwenye na kutokana na, ndani na yapata, kupitia kwa, na kinyume cha, ju ya na mkabala na, pamoja na, na kwa. Ni miunganiko mitano tu, ambayo inatumika mara chache, ambayo haihitaji kuwekwa neno pamoja na. Nayo ni ile isemayo zaidi ya, juu ya, mahala pa, kabla, na nyuma. Hebu na tujifunze sasa kwa ugumu mkubwa sana kuhusu neno pamoja na kwenye matoleo yetu hadi tuhakikishe tunayaja maana yake ya chanzo chake yanayo inapotosha maana yake.

 

Kwenye Biblia toleo la the Authorized Version, neno pros limepewa tofauti ya theluthi moja, kama ifuatavyo: kuelekea hadi, kujaribu, kwenda hadi, kwene mwisho huu, kile, kwamba ... ingekuwa, kwa sababu ... ingekuwa, kufanya, kutoa, kwenye, sio kwene, huko, dhidi ya, kabla, kwa, kwahiyo, pamoja na, kulinganishwa na, ndani yake, katikati, miongoni, vitu vilivyo mali ya, vitu vile vilivyohusiana na, kuhusu, masharti ya, kutosheleza kwenye, kile mtu alichonacho dhidi ya, kwa mujibu wa, kwa ajili, kwa lengo gani, kwa sababu ya, na ya. Wakati inapotumiwa na kijisemi ilikuwa, iko, nk, dhana iliyopo ni kulitilia maanani neno kiunganishi la “pamoja na, yaani ‘what” kwenye lugha ya Kiingereza, lakini kwa kawaida inatafsiriwa kama hadi au ndani ya, kwa kuwa inaashiria dhana kuhusu somo au fundisho. Kwenye sura hii hii Yohana anamuona Yesu anakuja kwake (29), Andrea alimleta Simoni kwa Yesu (42), Yesu alimuona Nathanieli anakuja kwake (47). Hatimaye alinena mara nyingi kuhusu kwenda kwa Baba (13:1; 14:12,28; 16:10,17,28). Kama Bwana alivyokwenda kwa Baba, ndipo Maelekezo yalikuwa ni kwa Mungu.

 

Hatuwezi kuiona tofauti hii, ingawaje ndimi zetu haziwezi kuelezea hili? Kutuambia sisi kwamba Mwelekezaji alikuwa pamoja na Mungu haimaanishi kuonekana iliingia akilini ambamo neno linatuama, bali kama tukisoma kwamba Mwenye kuelekeza alikuwa kwa kumwelekea Mungu kwa maana ya kwamba ilimuonyesha yeye, inatusaidia kuona kwamba wazo halisi sio ule ukaribu wa Mwelekezi huyu na Mungu bali kuwaonyesha wengine na kuwaelekeza kwa Mungu. Na sio hii tu ndiyo pekeyake huyu mwelekezaji aliyoikusudia kuikamilisha?

 

Kwa ufupi, huyu “Mwelekezaji” ni neno la jumla linalounganisha maana ya madhihirisho yote ya Mungu ambayo lugha ya Kiebrania inahusika kuelezea vyeo mbalimbali vya majina, kama vile Elohim na Yahwe, Eloa na Yah, El na Shadai, Adoni na Adonai, Mungu Aliyehai ambaye anajulikana kama ni Mungu anayeonekana au anayesikika sauti yake wa kwenye maandiko yaliyoandikwa na kuhifadhiwa ambayo kwamba Yohana, akiwa kama mtumishi wa Tohara, itamlazimu kupinga, wakati alipokuwa anawaandikia wapendwa wafuasi wake wapenda imani na dini.

 

Yohana alikuwa ni mtumishi kwa Waliotahiriwa (Wagalatia 2:9). Aliwaandikia Wayahudi. Utangulizi huu imekusudia ili kuwekwa daraja kwenye utenganishi kati ya ufunuo uliopita kwenye Maandiko Matakatifu ya Kiebrania na dhana au fundisho linalofundishwa na wengi la kuzaliwa kwa Kristo akitokea kwa Mungu moja kwa moja. Neno akafanyika mwili. Huyu Logos, au Mwelekezi wa Mungu, alionekana kwenye ufanano yakinifu ujulikanao kama teofanisi wa Mungu wa Israeli kwenye zama za kale. Vebu hizi ni kwa siku zilizopita. Kisha Neno alikuwa kwa Mungu. Neno la Kiyunani la pros kilamara lina maana hii, na limebadilishwa kwenye tafsiri peke yake ukilingansha na idiom ya Kiingereza. Kwa kidogo sana ina maana muhimu linaweza kushabihiana kutokana na neno pamoja na. Si ilivyo kwa neno kuelekea kwa. Inafafanua ufunuo wa Logos kwa Mungu.

 

Mungu alikuwa Neno

Mungu mwenyewe hasikiki kwa masikio ya kibinadamu na wala haonekani kwa macho. Tunaweza kumuona au kumsikia bila mafanikio. Njia pekee tunayoweza kuigundua maelekezo, ambayo ndivyo alivyo, ni kwa kulisikiliza Neno lake, Logos. Ni mfuatano kati ya sisi na Mungu. Wakati Ibrahimu alipotega sikio lake kwa Yahwe, hakuwa anasikiliza kutoka kwa Mungu mwenyewe, bali kwa Neno lake. Wakati Adamu alipokuwa anaisikia sauti yake bustanini, alikuwa ni Mwelekezi wa Mungu ambaye alijificha kwake. Kwa hiyo wakati Isaya alipouona utukufu wake, yalikuwa ni udhihirisho wa Kristo, ambao ulimuonyesha kwa Mungu. Mwonekano wake ujulikanao kama teofanis kwenye “Agano la Kale,” unamwonyesha au kumdhirisha Mungu kwa Waebrania, ambaye sauti yake iliutetemesha Mlima wa Sinai, alikuwa ni Logos, Neno, Mwelekezi.

 

Kwahiyo, anasema, “Mungu alikuwa Neno.” Yule Mungu, ambaye amejidhihirisha kwa kupitia maandiko yao matakatifu, Aliyewatokea mababa wa imani na kuishi kwenye maskani na hekaluni— alikuwa ni huyu Logos hapo zamani. Hakuwa Mungu, bali ni Mwelekezi wake. Mungu haonekani; huyu alionekana. Mungu ni Roho; alionekana akiwa Mwanadamu. Ni kama mkate unavyouwakilisha mwili wa Kristo, ndivyo hata yuhu alimuwakilisha Mungu Asiyejulikana. Ni kama kwa jinsi tunavyozidi kupata ufunuo, alikuwepo (Yeye aliyeteuliwa) awe pamoja na Mungu. Elohimu (uwingi) aliumba (umoja) mbingu na nchi, yaani, kiumbe aliyetokana na El, ambaye uzima wote na nuru ilitoka kwa Mwana. Sasa amefanika kuwa mwili.

 

Yohana hatafuti kuthibitisha utambulisho wa Neno kwa kumtumia Mungu asiyefikika. Jina hilohilo, “Logos,” ni kinyume cha uungaji mkono kama huu. Anabudi kumthibitisha Kristo na Mungu aliyefunuliwa kwa Waebrania kwenye Maandiko yao Matakatifu. Anataka kuonyesha kuwa Mungu anamtumia Mwombezi huyuhuyu ambaye alimtumia kabla alipokuwa anashughulika na wanadamu hapa duniani. Mungu aliyemtokea Adamu, hadi Abeli hadi Nuhu, hadi Ibrahimu, hadi Yakobo, hadi Samweli, hadi Daudi na kwa manabii wengine wote ambaye sasa amefanyika mwili ili kuhitimisha ufunuo aliouanzisha.

 


 

Umbo la Mungu

 


Kristo anajidhihirisha kwa namna nyingi. Anauwezo wa kujibadilisha kwa namna nyingi. Kwa kujinyenyekesha alichukua hali ya kuwa mtumwa, ingawa hajawahi kamwe kuwa mtumwa. Alipenda tu kuwa na hali ya mtumwa. Huduma na utumishi wake kwa Mungu ilikuwa ni way eye kuwa Mwana; na kwa wanadamu alifanyika kuwa mkombozi. Utii wake haukuwa wa kupofuka au wa wa kulazimishwa. Alikuwa na hekima na utimamu wakati wote na huru. Pale mlimani alibadilika kiasi kwamba mavazi yake ilifanyika kuwa kupendeza na kwa kusubu yake. Alichukua umbo maalumu alipokuwa njia anaelekea Emau, kiasi cha kuwafanya wanafunzi wake mwenyewe wasiweze kumjua wala kuwa na ushahidi wa dhahiri wa kumtambua. Ni muhimu kujua kuwa hakuna hata mojawapo ya maumbo haya linalojitokeza wakati alipokuwa anaishi na kuhudumu hapa duniani alipokuwa kwenye umbo la mtumishi wa Mungu. Ingawa alikuwa Mfano na Neno wa Mungu, hakuwa kwa kipindi kile akijidhihirisha hivyo.

 

Wafilipi 2:5-8

Hatahivyo, Kristo alikuwepo tangu mwanzo kwa sura na mfano wa Mungu na aliwekwa wazi kwenye kifungu cha muhimu kinachoelezea umuhimu wa mwenendo wa mwamini: “Iweni na nia iyo hiyo ndani yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya Kristo Yesu; ambaye yeye mwanzo alikuwa yuna namna ya Mungu, naye hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa ni kitu cha kushikamana nacho; bali alijifanya kuwa hana utukufu, akatwaa namna ya mtumwa, akawa ana mfano wa wanadamu; 8 tena, alipoonekana ana umbo kama mwanadamu, alijinyenyekeza akawa mtii hata mauti, naam, mauti ya msalaba.” (Wafiipi 2:5-8).

 

Ushawishi wa ukiri wa imani una nguvu kubwa siku hizi katika jaribio la wanateolojia wengi wa kiorthodox kulipa neno “umbo” maana maalumu na iliyodizi kawaida kwenye kifungu hiki. Kwa kweli, ukiri wa imani ulioazimiwa kwenye mtaguso wa Nikea haukufanya kitu kingine chochote zaidi ya kuliondoa neno “umbo” na kuliingiza neno “msaidizi” (au homoousion, “kama shamba”), na vifungu vingine vinavyothibitisha. Umbo linamaanisha na mwonekano wan je. Wanasisitiza kwamba ni lazima ijumuishe mshikamano wa ndani. Sisi wenyewe tulikubwa na mtazamo na imani ya namna hii ya kimapokeo, na huku tukiunga ushahidi unaopingana na fundisho hili. Vifungu vinavyofuatia vinaonyesha ushahidi wa kimaandiko:

 

morphê, UMBO

Marko. 16:12 Baada ya hayo akawatokea watu wawili miongoni mwao,

Wafilipi 2:6   kuwa wa namna ya Mungu

                        2:7 kuwa na namna ya mtumwa

 

morphoõ, UMBO

Wagalatia 4:19 mpaka Kristo aumbike ndani yenu;

 

morphõsis, KUWA NA UMBO

Warumi 2:20 mwenye namna ya maarifa na ya kweli katika torati;

2 Timotheo 3:5 wenye mfano wa utauwa, lakini wakikana nguvu zake

 

Tukiliacha andiko la Wafilipi nje ya mada, ni moja tu kati ya vifungu hivi kinaweza kuonyesha dhana mashuhuri kwamba “umbo” ni kitu cha ndani na muhimu, na ni “ishara ya utu wa ndani.” Kwenye Wagalatia Paulo kwa hakika anaongelea kuhusu matendo ya nje ya neema, sio nakala tupu ya nje. Alitamani kumuona Kristo akiwa ndani yao. Kifungu hiki kimetutosheleza, kama kwenye wakati mmoja; ambapo neno “umbo” lilikuwa na maana zaidi kuliko inavyoonekana machoni. Tulishindwa kujua kwamba dhana hii inapata mashiko na neno ndani, na sio kwa vebu umbo. Uwepo wake ni kinyume na mawazo yetu. Haikupasa itakiwe kama umbo lenyewe linamaanisha ni matendo ya ndani. Inathibitisha kwa mtazamo chanya kwamba neno “ndani” halipo kwenye maana yake.

 

Kutokea kwake kwingine kunasaidia sana na kunatakiwa, kwa kuwa kwene kila tukio, kuna mkanganyo ulioamriwa. Kwenye Warumi (2:20) neno umbo limetumika kwa ukweli chanya. Wayahudi kwa kweli hawakuwa wakijua na ukweli kwenye torati. Yote waliyokuwa wanajua yalikuwa ni umbo la nje. Matumisi haya ya neno yapaswa yajumuishwe, lakini si zaidi sana kuliko maelezo ya Paulo ya watu katika “siku za mwisho” walio na mfano wa utauwa, lakini wakizikana nguvu zake. Kama “umbo” hilo halipo la kijuujuu, likikosa mawasiliano ya ndani ya neema, kwa hakika yasingekosa au pungua nguvu. Ingekuwa nini basi mjumuisho wa pamoja ya zaidi ya mikanganyo hii miwili? Kwa kila mmoja, umbo hili ni mfano wa kitu halisi. Haihusiani na kile kilichoko ndani.

 

Yatupasa kujua kwamba heshima au wasifa wa Bwana wetu utokanao nay eye kuwa mfano wa Mungu na kujishusha kwake kuwa hadi mfano wa mtumwa sio mabadiliko pekee ya umbo ambalo alikuwanalo. Kwenye mlima mtakatifu alibadilika (metamorphoõ, Mathayo 17:2; Marko 9:2). Baada ya kufufuka kwake alionekan kwa maumbo mbalimbali kwa wawili wao (Marko 16:12). Kwa kutilia maanani kuhusu matukio haya yatatupeleka kwenye kushawishika kwamba hakukuwa na mabadiliko ya ndani kwake kwenye matukio haya yote. Sura yake iling’aa na nguo zake zilikuwa nyeupe kama nuru, lakini hakukuwa na dalili hata kidogo ya mabadiliko ya ndani wakati alipobadilika.

 

Baada ya kufufuka kwake toka kwa wafu, alionekana na Maria Magdalena. Alioenekana kuwa ni yeye huyu alipoonekana kama alipokuwa kabla ya kufa kwake, kwa kuwa hatimaye alimtambua ingawa hakuwa anatarajia kumuona akiwa hai. Lakini wakati alipokuwa amefuatana na wanafunzi kueelekea Emau, alikuwa kwenye umbo jingine. Kwa kusudi alilokuwanalo hakukuwa na ulazima kwake kufanya mabadiliko yoyote muhimu kutoka kwenye hali yake ya “asili” au ya hali yake. Kile alichokihitaji kilikuwa ni kujidhihirisha ambao hawakuweza kuujua kwa kweli, kwa sehemu walishangazwa na mabadiliko yake, kwa kuwa mioyo yao ilikubaliana naye Yule aliyetokana na yeye, ambaye ni kutokana na umbo la nje lililoshindwa kuwa na umahiri.

 

Kwa malengo yetu inatosha kusisitiza kwamba Bwana wetu hatokani na maumbo mawili ambayo mtume anayaongelea kwenye Wafilipi. Baada ya kujidhihirisha kwake kwenye umbo la mtumwa, alijibadilisha kwa muda kitambo mbele ya baadhi ya wanafunzi wake katikati ya huduma, na alichukua umbo lisilo la kawaida baada ya ufufuko wake. Angeweza kusisitiza kwamba kujidhihirisha kwake kwa mara kwa mara katika hali ya utukufu, kama vile alivyomtia upofu Sauli wa Taso, na kumsababisha mtume huyu kipenzi cha wengi aanguke miguuni mwake kama mfu, hapa ia alikuwa na umbo linguine tofauti, linaloendana na utukufu wake mpya. Kwa hakika hayupo tena kwenye umbo au hali ya mtumwa. Kwenye ufunuo huu wa siku zijazo ataonekana akiwa na umbo lenye nguvu na tukufu la utawala wake mtukuka.

 

Ila mwonekano mmoja zaidi unabakia. Huu unakutikana kwenye kifungu chenyewe. Kwa mtazamo wa kwanza inaonekana kukanganya mambo yote tuliyojifunza kuhusu maana ya kweli ya neno “umbo.” Bwana wetu alifanyika kuwa namna ya mtumwa. Yatupasa kujua kuwa alifanyika kuwa mtumwa kwa mwonekano wake tu, lakini si katika uhalisia? Wote wanakubali kuwa kinadharia, Kristo ni Mtumishi. Hakufunikwa tu vazi la utumishi, bali ni hakika kuwa alitumika. Yeye mwenyewe alituhakikishia kuwa “Mwana wa Adamu asivyokuja kutumikiwa, bali kutumika, ...” (Mathayo 20:28; Marko 10:45). Paulo anampa jina kwa kumuita “Mtumishi kwa Wenye tohara” (Warumi 15:8). Kunaweza kusiwe na swali kwamba Kristo ni Mtumishi Aliyetukuka wa Mungu na wanadamu. Ni kwa nini basi inashaniwa tu kwamba mfano wa mtumishi, kama inavyoweza kutafsiriwa kwa kawaida.

 

Ufumbuzi wake ni rahisi. Hakuchukua haiba ya utumishi, ila ya mtumwa. Walioiandika tafsiri ya RSV wameandika neno “mfungwa” kwenye ufafanuzi wao wa chini ya ukurasa. Wala hii haifanyi tofauti yoyote. Na imerekebishwa kutokana na Maandiko Matakatifu ya Kiyunani. Hakuna mahali pengine popote kwenye zaidi ya mionekano yake ya mara mia moja na ishirini ya neno mtumwa (doulos) ilipochukuliwa aitwe Bwana wetu. Alikuwa ni mtumwa kwa ndani. Alionekana kama mtumwa, bali hakuwa utumwani kamwe. Kwenye kujifanya kwake kuwa mtumwa hakukuwa ni utumwa wa kweli. “Siwaiti tena watumwa; kwa maana mtumwa hajui atendalo bwana wake;” (Yohana 15:15). Aina ya utumishi wake ilikuwa ni ya kujitolea na ya hiyari.

 

Zaidi ya yote, tafsiri ya neno “mtumwa” haitoshelezi kuashiria kwamba ndivyo alivyokuwa kihalisia. Hata :mtumishi” hafanyi kazi nyingine yoyote zaidi ya ile yak wake. Haituambii kwamba Mtumishi ni nani hasa. Kama ni jambo lililo kweli, wote watakubali kwamba huduma yake haikuwa ya kitumwa bali ilikuwa ni ya Kiuwana. Kama neno “kujifanya” litamaanisha uhalisia wa ndani, basi angeonekana kama Mwana wa Mungu. Iwapo kama tutauchukulia ushahidi huu kifungu hiki katika umakini, itatupasa kukubali kwamba, kwa kweli, hakuw karibu wala kufanana na Mungu. Ila iwapo kama “umbo” ni linachukuliwa kwenye kila tukio kwa lengo la ufunuo wa kimungu, yote ni wazi. Haikuwa shughuli ya Kristo kujidhihirisha mwenyewe, bali ni kumdhihirisha Mungu. Ili kuliweka jambo hili kiukanganyifu, umbo la Mungu halikuwa ashirio la nje la jinsi alivyokuwa yeye mwenyewe, bali uwakilishi wa Mungu wake. Neno “umbo” halina maana yoyote iwapo kama tutamaanisha tu kwamba mwonekano wake wa nje ulikuwa unaendelea kwa maana ya ndani. Hili halihitaji hata kunenwa. Matumizi yasiyo na lazima ya neno umbo lingekuwa linatosha kuthibitisha kuwa kwa upande wan je alitokea kuonekana kama Mwingine. Kuinuliwa kwake kunaendelea, sio kwa namna ya kiumbe Mwingine, bali akiwa kama anayeonekana kwa wazi anamdhihirisha Mungu.

 

Zaidi sana, ni kama fungu la maandiko la Wafilipi halitoi aina yoyote ya umbo ambayo kwayo alijitokeza baada ya kuzaliwa kwake katika mwili, kwa hiyo haituambii sisi kuwa na maumbo ambayo alifanya mapema kabla ya kujidhili kwake. Mbali ya kujidhihirisha kwake kwa umbo la kibinadamu na akiwa kama mjumbe. Kwenye Wafilipi tunatolwa mwito wa kuutilia maanani mwonekano wake wa juu na wa chini, kwa kuwa hawa peke yao ndio wameitwa ili kuomba. Mjadala huu umekuwa karibu iomeshwe kwa nadharia kwamba Kristo alikuwa amefanya mwonekano wa kiumbo kabla ya kuzaliwa kwake katika mwili, na mtu aliye na umbo la kidunia, na umbo moja lisilobadilika kwene ufufuko. Hii ni kinyume na ukweli.

 

“Uasilia”

Shinikizo la neno “urithi” lililotumika hapa, sio la umbo la ndani bali ni lile lionekanalo kwa nje lililo lake kwa haki. Uonekanaji wake kwenye umbo la Mungu kabla ya kuzaliwa kwake huko Bethlehemu hakukuwa sahihi lakini ulikuwa ni kwa mamlaka. Ndipo, kulikuwa na nyakati wakati mwonekano wake wa nje ulikuwa ni kama vile kufanyika kuwa Mungu, na alikuwa kama aliyefanana na Mungu kwenye macho ya watu kama ilivyokuwa haiwezekani kwa Mwingine kuwa. Ilikuwa ni kilele cha utukufu wa kipindi cha kabla ya kuzaliwa kwake, ambayo kutoka kwayo alishuka chini kwenye laana ya msalaba.

 

Ni dhahiri kwamba, wakati alipokuwa kwenye umbo la Mungu, alikuwa karibu sana na mawazo ya wale ambao kwa nadharia ya wa okalisti wanamfanya yeye kuwa “kiini” cha Uungu, anayependa, kwa kweli, kumtambulisha na Mungu wake, isipokuwa kwa “ubinadamu” wake. Kipindi hicho, unyenyekevu yenyewe ilikuwa ndiyo tabia yake, ambayo haikuwa potofu kwa vyovyote vile kwa yeye kuchukua hali ya kuwa sawa na Mungu.

 

Usemi huu kuhusu usawa na Mungu, hata hivyo haumuonyeshi wala kummaanisha yeye kuwa Mungu. Zaidi sana ni kwamba unamtofautisha yeye na Mungu wake. Iwapo kama angekuwa ni msaidizi, basi yote yanayoonekana kwenye umbo hili yangeashiria, suala la kumtukuza yeye aliye aliyemuwakilisha asingeweza kuinuka. Mungu hawezi kujinyang’anya au kujipora mwenyewe. Iwapo kama umbo hilo lisingeweza kuaminika na kuruhusiwa na Mwenye Kutukuka, kama matendo yake yangekuwa hayajaruhusiwa, iwapo kama hangekuwa yamefanana sawa na Mungu, ndipo angeweza kuwa ni udhulumaji mkuu sana kwenye ulimwengu wa viumbe wote.

 

Kuna la zaidi na kubwa zaidi kuliko tofauti ya “nasfi” kati ya Mungu na Yeye ambaye alikuwa kwenye umbo lake. Ingawa, kwa kuonekana, usawa, usawa ule unategemea kabisa kwenye ukweli kwamba umbo lilikuwa ni kwenye kuonekana kwake tu, na Kutokuonekana kulikuwa ni hali halisia. Ina ushirikiano wa karibu kwa siku za mbeleni, kwa Kristo awe amevikwa na utukufu ambao ulikuwa ni wake kwenye siku zilizopita. Hataweza kuonekana kama Mungu, bali ataitendea kazi nguvu yote ya Mungu.

 

Baada ya utafiti huu wote tunarudi nyuma kwenye maana rahisi, asilia, yasiyolazimishwa wa maana ya maneno. Umbo la Mungu lilikuwa la kuazamika, lenye kuwakilisha muonekano wa Mungu asiyeonekana na wa kiroho. Hakuna aliyewahi kumuona Mungu (Yohana 1:18), kwa kuwa yeye haonekani kwa macho (Wakolosai 1:15). Kwenye Wakolosai Mwana wa Mungu anafanya muunganiko unaohitajika na uumbaji kabla hajawa Sura na mfano wa Mungu. Kwenye Wafilipi tunapata wazo hilohilo kwa tofauti kigodo tu, kuifanya maana yake. Vyote viwili, yaani Umbo na Sura iliyo mfano vinaonekana kwa macho. Hiki ndicho alichokuwa anamaanisha Paulo. Yohana anamaanisha kuhusu masikio, kwa kumuita yeye Logos, au Neno la Mungu na kwa kila mara Kristo ni Mpatanishi au mwombezi wa Mungu na wanadamu. Masikio ya mwanadamu hayawezi kumsikia Mungu na macho ya mwanadamu hayawezi kumuona yeye, ila yanaweza kulisikiliza Neno lililohai na kuchukua Sura na mfano na Umbo.

 

Hata hivyo, Umbo halikuwa kifaa cha mawasiliano, lakini ushahidi wa utukuzaji. Wakati Isaya alipomuona Yahwe, alimtukuza na kumuinua kwenye kiti chake cha utukufu, pamoja na mshikamano wake wote na Mungu, alizidiwa na fahari ya kutisha na ukuu wenye kutukuka alionao yeye anayeketi kwenye kiti cha enzi. Ingawa alikuwa ni nabii mkuu aliyekemea ushindwaji wa watu, bali amejinyenyekeza kabisa kwa kuona na kulia kwa uchungu mkubwa, “Macho yangu yamemuona Mfalme, Yahwe wa Majeshi!” (6:5). Uwakilishi aliouona ulikuwa ni Umbo lililo Mfano wa Yahwe. Lile Umbo aliloliona lilikuwa ni utukufu wa Mungu. Maajabu tuliyonayo sisi kuyapambanua ni haya hapa ni: kwamba huyu mwenye utukufu huu kuwa amefunuliwa ili kuuonyesha utukufu ule kwa mwisho wake. Alikuwa na moyo wa Mungu pia kama umbo la Mungu, na alikuwa amuonyesha kuachana nayo, kujitweza mwenyewe kutoka nayo, na kulichukua haiba ya mtumwa ili aweze kudhihirisha hali ya ndani zaidi ya mapenzi ya Mungu hata kwa zaidi.

 


 

Mwombezi Kati ya Mungu na Mwanadamu

 


Utukufu wa pamoja wa Kristo Yesu akiwa kama Mpatanishi wa Mungu na wanadamu mara nyingi umekuwa ukitiliwa chumvi au kutoeleweka au kukanganya maelezo yanayofanywa ili kulinda “Uungu wa Kristo.” Kwenye kitabu chake chenye kichwa cha somo, THE LORD FROM HEAVEN (BWANA KUTOKA MBINGUNI), Sir Robert Anderson anasema, “Kwetu sisi, kwa hiyo suala hili liko wazi na rahisi sana, anayetajika, iwe kwamba Kristo ni Mungu au mwanadamu.” Usemi huu uwe kwamba unakubalika au linaeleweka fundisho kuu, kwa kuwa ushahidi wake mwingi kwenye pande zote mbili. Zaidi sana ni kwamba, tangazo hili haliendani na nafasi ya kipekee ya Kristo kama Kiunganishi kitakatifu kati ya Mungu na mwanadamu. Maandiko Matakatifu yanasisitiza kuhusu kazi hii ya kutuombea na kutupatanisha. “Kwa sababu Mungu ni mmoja, na mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu ni mmoja, Mwanadamu Kristo Yesu;” (1 Timotheo 2:5). Wale wanaomfanya yeye kuwa ni Mungu kamili au ni mwanadamu tu yawapasa wafanye hivyo kwa kuuepuka ukweli huu na maelezo yote matakatifu ya mahusiano hayo ambayo kwamba Kristo ameunganisha ufa ulitengananisha kati yetu na Mungu.

 

Sehemu inayomuunganisha Kristo

Watakatifu wote wanaamini kwamba, kwa kiasi fulani, Kristo ni Mwombezi na Mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu. Wengine wanamchukulia yeye kuwa ni Mungu kamili, na huku wakilazimika kukubaliana kuhusu ukomo wake wa kutojua mambo fulani fulani. Wengine wanamchukulia kuwa ni mwanadamu wa kawaida tu, ila wakikiri kuwa yuko tofauti na wanadamu wengine wowote. Nafasi yake ya kweli ni mara chache sana kuweza kufafanuliwa. Ufumbuzi unatuama kwenye kweli kuu kwamba Bwana wetu anamshabihisho, nay u tofauti sana na yuko zaidi ya watu wengine wowote hapa duniani. Hatuhitaji kukubaliana kikamilifu na migongano hii miwili ya kimawazo na mtazamo kuhusu yeye, kwa kuwa pande zote mbili zimekosea, ingawa kila upande una chembechembe za ukweli. Tusiyaruhusu kabisa maelezo na ufafanuzi kama huu utusababishe tunyang’anywe Mwombezi wetu, Kristo tunayemhitaji.

 

Kiini cha kuanzisha imani yake hii ni rahisi sana. Ametokana na vyanzo viliwi tofauti. Roho ake inatoka kwa Mungu moja kwa moja, ni kama ilivyo kwa mwanadamu mwingine yeyote. Hata hivyo, mwili wake, ni wa mwanadamu kabisa. Roho yake, ambayo ni uelewa na akili zake unatokana na mchanganiko wake, ni kitu kisichoweza kulinganishika, kuweza kufanya mawasiliano ya moja kwa moja na Roho Mtakatifu, na kujishusha kwenye hali ya kuharibika au kuoza ya mwanadamu wa kawaida anayeweza kufa na kuoza.

 

Kitu tunachokihitaji kusisitiza ni kwamba, huu usawa au kufanana na Kristo na Mungu, badala ya kumlinganisha yeye na kile kinachoitwa “Uungu,” ni kwa chenyewe t uni ushahidi tosha kabisa uonyeshao kuwa yeye sio Mwenyezi. Hakuna kitu kinachofanana au kulinganishwa na chenyewe, isipokuwa kwenye umbo la mtungo na lisilodhahiri. Hali ya kufanana inatoweka kwa kuonekana. Wala huu hautakaokuwa wa kudumu kwenye “ubinadamu,” kwa kuwa Kristo na Mungu ni kama hawako “kimwili.”

 

Uhusiano wa Kristo na Mungu

Kumjua Mungu ni lengo kuu la akili za mwanadamu, somo moja la uumbaji na ufunuo, kusudi na maana ya maisha yote na uzoefu wake. Twaweza kujifunza kidogo kanuni hizi zote kwa kupitia kazi zake, lakini mzunguko kamili ya ufunuo wa Mungu unaotokana na kwa kupitia Neno lake. Ndani yake tunamuona Mwana wake, na kwa kumuona kwetu yeye, tunamuona na kumjua Baba (Yohana 14:9). Na kwa kadiri tunapokuwa na ushirika na Kristo, tunaweza kumjua Mungu. Kwa kawaida watakatifu wamekuwa wanashimakana na Kristo kwa uhusiano wao wao kwa wao na kwa watu wengine kama Mwokozi na Bwana. Inaaminika kuwa wote waliosoma mistari hii wanajumuika kwenye neema yake kwa niaba yao na wapo tayari kuingia mahala pa juu sana pa uhusiano wake na Mungu wake ambaye ni Baba yake. Hili ndilo fundisho la tafakari hii.

 

Mungu anadhihirika kwa kupitia Kristo kwa mwandamano wa matukio ya kufanana kwake na kutofautiana. Yeye ni Mwombezi kati ya mwanadamu na Mungu, anayemwakilisha Mungu kwetu ili kwamba akili zetu ziweze kumjua yeye.

 

Macho yetu yanamuona Mungu kwa Umbo lake lisiloonekana. Masikio yetu yanamsikia Mungu kwa kupitia Neno wake aliyeshuka na kuzaliwa mwanadamu. Lakini kwa wakati huo huo, tunaiona na kuigundua tofauti kubwa kati yao, kwa kuwa Mungu ni Chanzo cha vitu vyote, wakati Kristo ni Kiunganishi cha ulimwengu.

 

Ujuzi wote unauhusiano, na ni matokeo ya tofauti ziliyolingana. Hizi zaweza kuwa zenye kusaidia kwa kiwango cha juu au cha chini kuliko umaanani ulioangaliwa kwa umakini wa Ubinadamu wa aina mbili zilizotukuzwa sana kupita kawaida hapa duniani? Ni jambo geni kusema, kwa kawaida iko rahisi zaidi kujifunza vitu viwili kuliko kimoja, iwapo kama vitahusiana kila kimoja na kingine. Ki matendo haiwezekani kabisa kujifunza habari za Mungu mbali na Kristo wake. Teolojia imejaribu hilo kwa kumfunika yeye na mawazo dhana ya kifalsafa, kama vile uweza wake wa kuwepo kila mahal na nguvu zake ziwezazo kutoshindwa na jambo lolote, lakini pasipo na matokeo yenye maana. Ni sawa na isivyowezekana kabisa kujifunza kwa kina kujuhu Bwana wetu bila ya kujumuisha uhusiano wake na Mungu. Njia bora zaidi na yenye maana kuwatilia maanani au kuwajumuisha pamoja.

 

Tunajifunza maanguko ya asili kwa migawanyo miwili, mfanano na mtofautiano. Kama Mtoto asingekuwa kama alivyo Baba, basi tungewezaje kumuona Baba ndani yake? Iwapo kama hakuwa amefanana na Baba, asingemwakilisha, na Mwana asingekuwa kutunukiwa hadhi ya kuwa ndiye aliyemkusudia kumdhihirisha. Huduma yake ya kuwa kama Mwombezi inahitaji kwamba awe yeye yote kuwa afanane au asifanane. Kama Mungu haonekani, basi lazima Mwana awe anayeonekana. Kama Mungu hawezi kusikika, basi Neno ni budi asikike. Lakini kwa mambo yote mawili hali ya kuona na kusikia yapasa iwe kwa kiasi kingi kama Mungu alivyoiweka kwenye hisia zetu kama angekuwa kwenye masafa ya vifaa vyetu.

 

Kristo ni Mfano na Mwelekezi wa Mungu. Pasipo aina yoyote ya uelewa hata hivyo, roho ya hekima inahitimisha hilo, kwamba, kwa hiyo, si yeye peke yake kuwa ni Mungu. Nafasi ya Kristo ni ya juu zaidi kuliko Andes na sio Kristo Mwenyewe, ingawa ni sahihi kabisa anaitwa “Kristo wa Andes.” Huduma ya Mwombezi inahitaji kwamba Bwana wetu kuwa ni Mngu wa roho zetu, mwonekano wa Mungu kwa maana ya uelewa ulio ndani ya upeo wetu, machoni na kusikia kunakoendana sawa na hisia zetu. Inatupasa tumuone Mungu! Yatupasa tumsikie Mungu! Hili ni jambo lisilowezekana kabisa. Imegundulika kwa pamoja kwa Mwombezi Mmoja. Kwa yeye tunaona, sio yeye mwenyewe kabisa, bali ni Mungu wake. Ingawa ni yeye ndiye tunamsikia, sio maneno yake, bali Neno la Baba yake, ambalo wanadamu hawakupaswa kulichachusha kwa mawazo yao kwa ajili ya kumpatia utukufu! Hakuna aibu kubwa zaidi angaliyokuwanayo zaidi ya kujidhihirisha yeye mwenyewe, kwa kuyanena maneno yake mwenyewe, kuyatii mapenzi yake mwenyewe, ingawa haya ni ya muhimu kwa Mungu. Ingawa kama Mungu, umuhimu wake uliobora unatuama kwenye kujifananisha na utii wake kwa Mungu na Baba yake. Yeye sio mwanadamu wa kawaida tu au Mungu kamili, bali ni Mwombezi kati yao.

 


 

Mwana wa Mungu

 


Wakati akitangulizwa mbele sana Mwana wa Mungu, Kristo anashirikisha wadhifa wake na wengine, ambao kwa hisia iliyokatazwa, ina uhusiano sawa na Mungu. Uwana, upande wa Mashariki, na kwenye Maandiko Matakatifu, ni jambo linaloongea likifananishwa na heshina yenye kutukuka. Yawezekana kabisa mtoto asifanane na baba yake. Lakini mtoto anapaswa kufuata nyayo za baba yake. Aweza pia hata asiwe mtoto, wa kumzaa, wakati mwingine anaweza hata kuwa ni wa kumuasili. Sisi tu wana wa Mungu kwa imani, vyovyote vile matendo yetu yatakavyokuwa. Ila wale tu wanaoongozwa na Roho wa Mungu ndio wana wa Mungu (Warumi 8:14). Kwa kweli, “uwana” ulioelezwa kwa ajili ya madhihiriko yetu yajayo tutakapokuwa tumetawaliwa kikamilifu na roho wa Mungu, na kufanana na Kristo mwenendo wetu.

 

Viumbe wa kiroho au wajumbe wanaitwa wana wa Mungu “Miungu” wanaotajwa kwenye Zaburi 82 wamepewa jina hili hata na Shetani pia anajulikana kama anatokana na kundi hili kwenye Ayubu (1:6; 2:1). Walipiga kelele za furaha kwenye uumbaji (Ayubu 38:7). Wana hawa wa Mungu hawakuzaliwa bali waliumbwa.

 

Jina “Mwana” lilitumika kuwaita wanadamu kwa njia mbalimbali za umaanisho. Adamu anaitwa mwana wa Mungu pia (Luka 3:38), kwa kuwa alikuja moja kwa moja kutoka mikononi mwake, na alipewa utukufu wa kimbinguni hapa duniani. Israeli wakiwa kama taifa linaitwa kwa jina hili ili kuonyesha heshima yao wa pekee kati ya mataifa (Hosea 1:10; 11:1). Musa alielekezwa amwambie Farao, “Israeli ni mwanangu mimi, mzaliwa wa kwanza wangu” (Kutoka 4:22). Mungu atawapa mahali pa heshima kwa kuwa walikuwa wake, na walikuwa wamezipokea sheria zake, na watajazwa na roho wake.

 

Ni dhahiri kutokana na jambo hili, kwamba umwana wa mbinguni hauhitaji uungu wowote. Uwana ni wasifa uliotokana na uhusiano wa kibinadamu. Kwa pande za Mashariki, mtoto hasa mzaliwa wa kwanza wa kiume, anaheshimiwa zaidi ya wengine wote kwenye familia. Iwapo kama mtu hana mtoto wa kiume anaweza kumuasili mtoto wa kiume ili ampe sheshima. Ni sawa na viumbe kama hawa kwa kuwa wanashabiahiana na yeye kwenye mambo fulanifulani ya jinsi Mungu anavyowaita watoto wake. Kwa yote haya kuna Mzaliwa wa Kwana mmoja tu. Hii bado ni alama. Sio lazima kuwa ionyeshe dalili kwamba alizaliwa kwanza. Ni wa kwanza kwa kulinganisha na shughuli ya uumbaji.

 

Kwa cheo hiki Kristo anawasiliana kwa ulimwengu wa kiroho. Kutafuta kwa kupitia jinsi maisha ya Bwana wetu na kwa kukumbuka mara nyingi ulimwengu usiioonekana ndivyo vilivyomfanya yeye akubalike na kumthibitisha kuwa ni Mwana wa Mungu, wakati wanadamu, hata wanafunzi wake, walihitaji ufunuo maalumu kwamba wangeshikilia hilo (Mathayo 16:17). Shetani alikitumia cheo chake akisema, “Kama wewe ni Mwana wa Mungu ...” (Mathayo 4:3,6; Luka 4:3). Mapepo ya Gerasi alilia yakisema, “Mwana wa Mungu? Je! Umekuja kututesa kabla ya muhula wetu?” (Mathayo 8:29). Pepo wachafu, wakati wowote walipokutana naye, walipandisha na kulia kwa sauti kubwa, wakisema kwamba Wewe ndiwe Mwana wa Mungu!” (Marko 3:11). Mapepo yalijitokeza kutoka kwa watu wengi, yakiguguna na kusema kwamba “Wewe ni Kristo, Mwana wa Mungu!” (Luka 4:41).

 

Mwana wa Baba

Kwa desturi ya watu wa Magharibi, mtoto wa kiume ana nafasi kubwa sana na ya juu katika kushirikishwa mambo ya baba yake, kwa kiasi kikubwa sana kuliko kwa desturi ya watu wa Mashariki. Hii inakuwa hasa pale inapoonekana kuwa yuko peke yake. Bila shaka Mungu amelileta hili ili kuufanya mwelekeo wa mwanadamu kwenye wajibu wake mwenyewe kwa kuwa Mwana wa pendo lake (Wakolosai 1:13). Tumepoteza shinikizo lake miongoni mwetu tunapokuwa tukigawanya usawa wa majukumu yetu kati ya watoto wetu, au kuwa na mpendwa maalumu miongoni mwa walio wadogo. Zaidi ya hayo, neno hilihili la mwana linaanzisha wazo hili kuwa pana zaidi na uwezo mkubwa wa kimuono kwa upande wa Mashariki. Linajumuisha mapatano ya karibu kiuzawa kati ya baba na mwana, kwa kiasi kikubwa kama watu wa Mashariki wanavyosema kuwa, “Wewe si mtoto wangu mimi.” Wanamaanisha tu kwamba mtu aliye kwenye familia, ingawa mtoto mwenyewe haufanani na baba yake na wala hamhurumii kabisa. Ndiyo maana neno mwana limetumika mara nyingi kimfano. Mwana mwenye moyo mgumu au mtukutu sio uzao bora, bali ni mtu anayekuwa na ubora ule kwa kiwango kilichowekwa. Tafsiri ya biblia ya Authorized Version “watoto” inakanganya maana halisi (Waefeso 2:2). Mwana wa Mungu anawezakuwa hivyo kwa mtindo wa kuasiliwa, ila anakuwa hapewi jina hilo la kuitwa mwana tabia zake zisipothibitisha kwa kwendana na heshima hiyo kwa Baba yake.

 

Kwa kuweka nafasi ya mwana mahali pa shughuli za baba, kulifanywa na Bwana wetu wakati alipokuwa anatoa mafundisho yake kwenye hotuba yake ya mlimani iliyokuwa inajiri sana na ufalme wa mbinguni (Mathayo 7:9). Alisema; “Au kuna mtu yupi kwenu, ambaye, mwanawe akimwomba mkate, atampa jiwe? Kitu fulani cha wazi kabisa kwa hiyo kingepaswa kifanywe kwa binti, ila sio kwa mtoto wa kiume kwene nchi hizo. Kwa kawaida mwana anapewa upendeleo maalumu kwenye vyakula. Kristo akiwa kama Mtu Maalumu wa Mungu alipokea utukufu mkubwa kutoka kwa Mungu kwa kile akifanyacho. Lakini kama Mwana wake, amekuwa na uhusiano wa karibu na kipenzi zaidi na Baba, na amepewa heshima ya juu sana kwa jinsi alivyo. Sio lazima kwamba mwana ajipatie utunzwaji wake ili aweze kulishwa. Bali anaweza kudekezwa kwa ajili ya uhusiano wake. Hii ni kweli hata kwa wenyedhambi. Hakuna mahali ilipo kweli zaidi kuliko kwenye mahusiano kati ya Mungu na Mpendwa wake, kwa wengine wote, kwa wengine wote waliopo lakini ni mfano wa kinadharia kuhusu mahala pak na sehemu yake.

 

Mwana Mpendwa

Neno “Mpendwa” halijatumika kabisa na Bwana wetu isipokuwa kwenye tabia yake akiwa kama Mwana wa Mungu, Baba yake wa pekee. Kwa jina au cheo cha Kristo hakuweza kabisa kuitwa mpendwa, wala haikummaanisha yeye kama Bwana au Mwalimu. Ni Mwana aliyependwa na kumpendeza Mungu (Wakolosai 1:13). Yeye ni moyo na kipenzi cha Baba (Yohana 1:18). Upendo wa Mungu kwetu sisi umeelezwa kwenye karama za Mwanae wa pekee (Yohana 3:16). Tumeambiwa kwamba Baba anampenda Mwana (Yohana 3:35). Wakati tulipokuwa wenyedhambi, tulihesabiwa haki kwa damu ya Kristo, ni maadui ndio tuliopatanishwa nao kwa kifo cha Mwana wa Mungu (Warumi 5:10). Ni huyu Mwana ndiye aliyetupenda sisi na kujitoa mwwenyewe kwetu (Wagalatia 2:20).

 

Furaha ya Mungu inahusiana na Mwanae, Mpendwa wake. Wakati alipobatizwa, mbingu zilifunguka, na sauti ilitoka mbinguni ili kumtambulisha Masihi kwa Israeli (Marko 1:11). Hivyo basi, kwa nana nyingine, kulijibiwa kabisa swali lilikuwa linatarajiwa kusema, “Kristo ni nani?” yeye sio tu kuwa ni Mwana wa Daudi, bali ni Mwana wa Mngu. Na kwa kuwa yeye ni Mwana wake, basi ni Mpendwa pia, na ni Furaha yake. Huu sio mlingano au sifa kwa utendaji wa kihuduma, bali dhamira na mjumuiko utokanao na uhusiano na utendaji.

 

Mojawapo ya maafa ya kiteolojia ni matumizi ya wadhifa huu kwenye kile kinachojulikana kama “Utatu.” Tumepewa uwezo wa kujua kwamba kila “mtu” kwenye utaratibu huu wako sawa kama Mwana, na wala hakuna mtu kama huyo atakayeweza kutoigiza. Chochote ambacho Bwana wetu kitakachomfanya awe chini ya majina mengine, kwa hakika hakifanani wala hakiko sawa na Mwana, na wala kitu kama hicho hakiwezi kuigwa. Hakuna Mtoto aliye sawa na baba yake. Kwa kawaida ametokana na baba yake. Iwapo kama kunaulazim wa kuwa na utatu, basi Mungu hataweza kuwa na sehemu kwa hilo, kwa kuwa inafanya uhusiano uwe hauwezi kushindanishwa na wao, ambao wana umuhimu, wanalazimika kutawala miungu wa utatu. Maelezo ya “Mungu Mwana” yanajikanganya yenyewe. Inaweza kuwa ni “Baba, Mwana,” kwa ajili ya utatu, tunashughulikia na Uungu peke yake. Wakati kwamba kwenye Maandiko Matakatifu Mwana anaitwa Mungu kwa minajiri ya mahusiano na sio kwa maana yake kamili ijulikanayo.

 

“Mwanangu ni wewe!”

Utukufu wa uhusiano wa Kristo na Mungu kama Mwana unaonekana wazi sana kwa madai ya waamini utatu na mafundisho yao. Muunganiko wa Baba na Mwana hauwezi kutuama kwenye umoja wa “Kitu” au “Kiini” bali kwa utii wenye upendo kwenye mapenzi ya Baba. “Loo! Ninafika – kwenye hitimisho ya gombo lililoandikwa kuhusu Mimi – kuyafanya mapenzi yako, Ee Mungu” (Waebrania 10:7).

 

Yatupasa kugeka na kuwa mbali na ukiri wa imani za wanadamu ili kuweza kuunga mkono kifungu kama hiki kaka isemavyo Waebrania 1. Mwana ni Msemaji ambaye Waebrania wameelekezwa. Utukufu wake kama ulivyohusishwa kwenye ufalme wa Baraka zao, kwenye kiini au chimbuko lake kubwa la ujumbe wa waraka. Kuanzia na kundi kubwa linaloonyesha uhusiano wake na Mngu, amepewa nafasi iliyo bora kuliko malaika, na watu wengine wote mashuhuri waliopo kwenye historia ya Waebrania.

 

“mwisho wa siku hizi [Mungu] amesema na sisi katika Mwana, ... Mimi nitakuwa kwake baba, Na yeye atakuwa kwangu mwana” (Waebrania 1:2,5). Tunaongelea juu ya kuliona jua, bali limefichwa nyuma ya kingo zake nzuri. Kwa hiyo, Mwana ni Nuru au Taswira ya Mungu asiyeonekana (Waebrania 1:3). Utukufu uliolijaza hekalu ulikuwa unaongelea uwepo wake. Mungu kujishusha ili kupata tabia fulani kuhusiana na viumbe wake ili kujidhihirisha yeye mwenyewe kwao. Hata kama Baba, hawezi kujulikana isipokuwa kwa kupitia kwa Mwanae (soma Yohana 14:9,10). Sehemu maalumu kwenye Waebrania 1 ni utambulisho wa Mwana wa Mungu, si kwa uumbaji wake, bali ni kwa uzaliwaji wa kipekee wa Mwana (Zaburi 2:7; Mathayo 1:23; Luka 1:32; Yohana 1:14). Kama hivyo ni vizuri pasipo mfano kuinuliwa kwenye mawasiliano ya moyo wa Mungu na mwanadamu. Hebu na tumheshimu yeye kwa wazi wa mioyo yetu kwa matendo yake ya kuaminika na kwa moyo mkunjufu na kuonyesha kwake utii kama Mwana wa Mungu.


 

Ukamilifu wa Mungu

 


Hitaji kubwa zaidi la kuelewa mafundisho makuu kama haya kama vile “uungu wa Kristo” ni msamiati mgumu sana. Tafsiri ya The Authorized Version (na ile ya Revised kwa mfano mdogo) zimefanya msitu kubwa sana wenye maneno muhimu kwamba ni upuuzi kutarajia ufafanuzi au uwazi wa matumizi yake. Tafsiri fafanuzi iliyounganishwa kidogo ya maneno haya ya kipekee yaliyotumika yaetolewa, sio kwa kutafsiri tu, bali kwa kuonyesha chanzo cha makanganyiko. Neno “Uungu” linatumika kwa uhuru kama ni neno lnalohitaji kutofautishwa. Ni wachache sana wanaotumia neno “mungu,” “elimu ya Mungu” “utakatifu” na “Uungu,” wanaweza kutoa tafsiri au kuelezea maana yake kikamilifu na wakaweza kutenganisha maana zake.

 

theios, kisifa

Matendo 17:29 ya kuwa Uungu ni mfano wa dhahabu au fedha au jiwe

2 Petro 1:3,4 tupate na urithi usioharibika, usio na uchafu, usionyauka, uliotunzwa mbinguni

 

theiotês

Warumi 1:20 uweza wake wa milele na Uungu wake;

 

theotês

Wakoosai. 2:9 katika yeye unakaa utimilifu wote wa Mungu,

 

Uchambuzi yakinifu na udadisi umedhihirisha ukweli wa kwamba matumizi na uongeaji wa lugha ya Kiingereza unafanana kwa karibu na maneno ya lugha ya Kiyunani. Kwenye Kiingereza kuna maneno divinity deity [elimngu hukusu Mungu, mambo matakatifu], pamoja na divine [takatifu]. Kwa mtazamo wa ubora uliotukuka es fundisho hili, yaonekana kutojumuika kutumia mgongano mmoja, kupotosha, uwanja kamili kwa maneno haya yote ya Kiyunani yanapofanana sambamba na misemo ya Kiingereza wakati yakitumika mara kwa mara kwenye machapisho au vitabu vya teolojia. Tutatoa sasa tafsiri ile isiyo sahihi inayothibitisha maneno haya kwenye maandiko haya, ili kwamba kila moja lijihukumu lenyewe kwa kushabihiana kwake.

 

theios, takatifu

Matendo 17:29 haitupasi kudhani ya kuwa Uungu ni mfano wa dhahabu au fedha au jiwe

 

2 Petro 1:3,4 ambaye kwa rehema zake ...alituzaa ... tupate na urithi usioharibika, usio na uchafu, usionyauka, uliotunzwa mbinguni

 

theiotês, cha kimungu

Warumi 1:20 Kwa sababu mambo yake yasiyoonekana tangu kuumbwa ulimwengu yanaonekana, na kufahamika kwa kazi zake; yaani, uweza wake wa milele na Uungu wake;

 

theotês, uungu

Wagalatia 2:9 Kristo akiona kwamba ndani yake utimilifu wote wa Mungu unadumu kimwili.

 

Kuhusu maana ya utakatifu, kijisifa, kunaweza kusiwe na swali. Inaweza kutumika kwa kumaanisha nguvu, ya asili, ya vitu vya kuabudu, hata kwa sanamu, ambazo zinapaswa kuwa ni kama yeye ambaye ni kama alivyo Mungu. Paulo hakuwaambia watu wa huko Athene kuhusu “Mungu” ambaye hawajawahi kumsikia. Alikuwa hajasikia kabisa hukusu huyo yeye mwenewe. Alitengenezwa kwa vifaa vya mawe, na sanamu zilizotengenezwa kwa madini yenye thamani, ambavyo wao walidhania kuwa vimefanana na Mungu au vitakatifu. Vitu hivi havifanani na Mungu. Na wala sio vitakatifu.

 

Neno la Kiingereza la “divinity” linaendana kiuhalisia na wazo lililo kwenye kitabu cha Warumi. Kuna mtazamo mpana kuhusu hili ambalo linaendana vizuri na jicho au muono wa Mungu tunayoipata kwenye uumbaji. Kwa hiyo tunajifunza kuhusu hilo kwa uweza wake usioeleweka na wa kimbinguni. Kila mahali kwenye asili ni ushahidi wa tabia na matendo ya kibinadamu, zaidi ya uweza na uwezo wa viumbe wake. Tunaona Uungu kwenye asili na Mungu kwa njia ya ufunuo. Hii ni nguvu ambayo matumizi ya kimungu yanayapa maneno haya. Hebu na tusiyatumie hayo kwa maana nyingine yoyote.

 

Neno la tatu ni, “mungu,” ni kwa namna ya kipekee ni mbele yetu kwenye mkazo wa siku hizi. Mwonekano wa mara moja unatosha kufanya maana yake kuwa wazi. Inafanya neno lihitajike sana kwenye mjadala huu. Halijatumika kwa Kristo. Lilitumika kwa Mungu ambaye uweza wote ni wake. Kwa hiyo zaidi ya kuwa ni ufunuo tu wa kujidhihirisha yeye mwenyewe ni muhimu, Mungu anahitaji Uwepo, Umbo, Neno, Mwombezi, ili aweze kujulikana. Kristo Mwakilishi aliyetimiliza matendo au kazi hizi kikamilifu. Uwakilishi wake wote ya kumwakilisha Mungu ulikuwa mabegani mwake akiwa na mwili wa kibinadamu.

 

Kristo si hitimisholake mwe yewe. Hakuja ili kujidhirisha mwenyewe. Anatenda kazi kwa ajili ya mwingine. Huyu mwingine anaitwa “Mungu” ambaye ni tofauti kabisa na Kristo. Kusema hilo utimilifu wa Mungu uko ndani ya Mungu ni kinyume cha maandiko yanavyosema bali pia ni kumkufuru Roho mwenye utimamu mkubwa. Nje ya Kristo kuna huyu Mungu. Ni kazi yake kutuonyesha sisi Baba. Tena, kwa kufanya kwake hivyo, amejitofautisha yeye mwenyewe na Mungu ambaye kwa hapa amepewa jina maalumu limhusulo yeye mwenyewe peke yake. Itatulazimu kwa kiasi kikubwa iwapo kama na sisi tutakubali kumuita jina la “Mungu” yeye Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo, na kujizuia kulitumia kumwita Bwana wetu.

 

Itaonekana kutoka kwa hii kwamba haiwezekani kabisa kumuita Kristo kwa jina la “kimungu.” Hii haina maana nyingine yoyote zaidi ya kumfananisha na Mungu, ambayo kwa kiasi fulani uzito wake, inaonyesha tabia ya kazi zakezote, na ingeweza kutumiwa kwa namna yoyote ya utendaji kazi wake na shughuli zake. Kwa kweli alikuwa mtakatifu, lakini ni kwa kiwango cha daraja lake tu na kwa kiasi cha kuwa bora kumlingansiah na wengine kuliko sifa inayomfanya awe sawa na kiwango chake na sio kwa kumuinua kiasi cha kumfananisha kuwa sawa na Mungu. Sawa na hilo, kukuwa na haiba ya kimbinguni kwenye matenzo yake yote, ila hapa pia, anafanya vizuri kile kilichoendana na jina. Maandiko Matakatifu yanalitumia jina hili la kile kinachoonekana kwenye uumbaji, mbali na Kristo. Kwa hiyo mchanganyo unajitokeza kirahisi kwa kuuongelea “uungu wa Kristo.”

 

Neno theotês, deity, hata hivyo, linatumika na Mungu anapoelezea uhusiano uliopo kati yake na Kristo wake. Mungu anaitaji aitwe hivyo yeye mwenyewe na anakataza asiitwe hivyo Mwanae. Ni jina lililovuviwa linaloonyesha tofauti iliyopo kati yao. Neno pleroma, linalomaanisha “utimilifu.” Uwakilishi wa Mungu unakuwa unaonekana kimwili kwa Kristo. Kama yeye angekuwa pia ni Mungu, ndipo angekuwa na madai yasiyo na maana kwamba Uwakilishi wa Mungu unafanywa na Mungu, nasi tunaziondolea mbali sababu zote za kuwepo kwa Kristo, kwa kumfanya yeye kuwa ni sawa kiutambilisho na Mungu wake, na kusiwe na matumizi halisi nay a kweli ya kimahusiano yake na Mungu.

 

Ukamilifu

Jina au cheo cha “Mtoshelezi” ni la Kristo kwakuwa anawaleta wote kwenye utoshelevu na Hitimisho. Lakini awamu ya kwisho ya kusudi la Mungu limefichwa ili Ulimwengu wa Wakristo mamboleo wasijue, ili kwamba wanadamu wamudu kwaleta mamilioni ya viumbe wanaohisi uwepo, na sio kwenye furaha yao wenyewe au utukufu wa Mungu, bali kwa mwisho wao wa mateso na kukosa kwao neema ya Mungu ya milele. Filosofia yoyote inayoendana na ukiri wa imani wa Ukristo mamboleo ni lazima itapelekea maangamizi na upotofu. Na hata wakati kifo kilipofanywa kuwa ni mwisho wa yote, ni hakika kwamba hakuna taji la dhahabu la Mungu analovikwa mfu, na hakuna uwiano wa kiapolojia kwa viumbe. Mawazo na ufunuo vinahitaji kwamba Mungu atukuzwe, na kwamba mateso yanapata maelezo yenye kutosheleza, na kwamba yanahitimika, na wala havikwi taji yoyote ya kidunia ya bidii kwa Mungu na kuingilia kati kwake Mtiwa mafuta.

 

Huenda kitu cha thamani ambacho watakatifu wamekuwa wakikosa kukitilia maanani au kujua thamani yake ni upatanisho wa watu wote. Karibu maneno hayohayo kabisa ndiyo yametumika hapa kwenye Wakolosai 2:9 yametumika kwenye kuitambulisha kweli hii  yenye utukufu kwenye 1:18-20, “... kwamba kwa yote anaweza kuwa anakuja kwanza, kwa kuona kwamba uwakilishi wake wote unapenda kutuama kwake, na kwa kupitia yeye kuwapatanisha watu wote kwake. ...”Ni kwa sababu yeye ni Mwakilishi wa Mungu ambaye kwamba kwa yeye watu wote watapatanishwa. Iwapo kama hawapatanishi wote, ndipo wote hawataweza kukamilika naye hatakuwa Mwakilishi wa Mungu. Nguvu yote ya “uwakilishi” au “Utoshelevu” imekataliwa na karibu na kila mtakatifu anayelisikia jina lake. Ni masalia wachache tu ndio wanadiriki kumkiri kuwa ni Mwakilishi wa Mungu. Ni kito cha thamani kubwa sana kuliko aina yoyote ya kito kuwahi kuwepo maeneo mengine yoyote hapa duniani.

 

Mapokeo ya wanadamu

“Uungu wa Kristo” ni jambo lililotungwa na kufundishwa kimakosa, na ni matokeo ya fikra za kbidamu, waliofanya hivyo kwa kusudi la kilewalichodhani kuwa ni kumtukuza Kristo, lakini ikatumika kama lugha ya kiishara au shibboleth kuwaashiria wale wote wanaopigia goti mawazo na ibada hizi za wanadamu. Ni matokeo ya ujinga na hali ya kubobea kwenye mapokeo ya dini za potofu za wanadamu, na ni wachache tu kati ya wale wote wanaoamini na kufundisha au wanaojaribu kuyaingiziza mafundisho haya kwa wengine wanauwezo wa kuonyesha dhana halisi ya kile kinachokusudiwa. Inatumika kwa kuwapinga wale wanomfanya Kristo kuwa ni mwanadamu wa kawaida tu, iaweza kuvumilika kwa kitambo, bali ikiwa ni kwa usemi wa mrengo mvuri wa chanya wa imani iko nye ya uhalisia na jinsi yanavyosema Maandiko Matakatifu, ni mtungo wa mwanadamu wa kaaida, pasipo madai yoyote ya imani yetu, na ni mkakati wa kuuharibu na kuupotoa uelewa kuhusu utukufu wa Mungu na Kristo wake.

 

Ujasiri wa Waamini Utatu unetuama kwenye fikra za kubuni tu na kwamba mtu anayepuuzia kuamini hivyo basi atachukuliwa kuwa yupo upande wa pili wa wahafidhina na kuwa Myunitariani au anayeamini kuwa Mungu ni mmoja. Imechukuliwa kirahisi tu kwamba iwapo kama Mwana wa Mungu hayupo kwa namna yoyote ile kiutukufu sawa na Baba, basi ndipo atakuwa hana maana yoyote zaidi ya kuwa tu mkuu na bora kuliko Adamu. Maandiko Matakatifu yameondoa uwezekano huo wote kwa pamoja, kwa kuwa kurasa zake hazipo kama andiko moja tu na linaloning’inia linalopigia chapuo mrengo wa wanaopinga. Kwa hiyo, Kristo ni Mfano tu wa ungu na ni Mwokozi wa Wanadamu, Neno la Mungu na Mkombozi wetu. Anawajibika kwa Mungu, laini ni Bwana wa viumbe wote. Muunganiko halisia wa utukufu wa Kristo umekuwa ukiakisiwa na ande zote mbili za mgongano huu, kila upande ukimlazimisha awe kwenye upande wake wa kiafidhin, na anaweza kuweka mkono wake kuwili kote kwa wanaoamini kuwa ni Mungu au mwanadamu.

 

Jina hili la “Uyunitariani” yaani Imani ya kuwa Mungu ni mmoja, neno lenyewe halitokani na Maandiko Matakatifu, na hawa wanaodai hivyo hawamshushi chini cheo chake Kristo na kumweka kwenye hadhi ya kibinadamu, ila wanasisitiza tu kuwa hakuna Mungu mwingine ila ni mmoja tu, kama Maandiko Matakatifu yanavyosema kwa msisito mkubwa. Lakini, sasa ni kwamba inawakilishwa na shiika lenye ukiri wa imani ambayo kimatendo inakataa uwepo wake kwa njia silia iliyo tofauti na kibinadamu, na haiingii akilini kabisa kwa wanaoamini kuwa Mungu ni mmoja au wamonotheisti na ala hatuwezi kumshusha chini Mwokozi wetu kutoka kwenye hadhi yake ya heshima ya juu aliyonayo. Inasikitisha sana kwamba maelezo yaliyo kwenye Maandiko Matakatifu yasiwe ni mfano au kielelezo na mwongozo wa kutuonyesha kwa kiasi kikubwa na tukubaliane kuwa yeye sio Mungu. Lakini Utatu ni neno ambalo halina mahali kabisa kwenye msamiati wa Mungu, na wala kwenye ukweli wanaoukusudia kuutunga au kuuchombelezaa. Tarakimu ya namba tatu imekuwa ikiheshimika na kuadhimishwa kwa umakini mkubwa kwenye nadharia zote na kuchukuliwa kuwa kama ni ya Mungu.

 

Kwa kutafuta hilo, ndipo wazo la Utatu limejitokeza kwenye ufunuo kuhusu Mungu na linatokana tu na imani hizi potofu na kwa mchakato wa kiushawishi, ikaonekana kuwa ni muhimu, sio kwa kulichukua tu wazo hili, bali ni kwa kuilinda kwa makini na kwa uendelevu usaidizi wake. Kwa kuongezea tu ni kwamba neno lenyewe limewekwa kutokana na imani za kishirikina, ili kuifanya iwe takatifu zaidi kuliko hata yale yanayofundishwa na Maandiko Matakatifu yenyewe.

 

Imani ya Utatu haituami tu kwenye kumtaja Mungu peke yake, ambaye ndiye peke yake angweza kudhihirisha hilo, bali nikwa kulinganisha na ukiri wa imani ya kiinjili, huku wakiyaacha yaliyo mema na kuwaheshimu wanadamu. Inamaana kwamba hakuna mjadala kuhusu Utatu unaoonekana kukithi haja ya wale walioutunga na kuupendekeza. Karibu mijadala yote inaishia kwenye kusema tu kwamba kuna ukweli kwamba imani hii imedumu kwa kipini kirefu tangu pale wanadamu walipoacha kutegemea mawasiliano muhimu ya maongozi ya Neno la Mungu lililoandikwa, na kuiingiza imani hii mifumo iliyokubalika na kuaminika ambayo ilitiwa nakshi na mtu yeyote asiyeamini, na ndiyo yaliyokuwa ni uti wa mgongo kwa kiasi fulani na kungeuka kwa “Ukristo.”

 

Wahafidhina kwa ujasiri mkubwa na kwkujisikia sana wanaunga mkono mfundisho yaliyo kwenye Neno la Mungu kuhusiana na uumbaji. Lakini kwa kutilia maanani imani kuhusu Mungu, kwamba wanadamu wameondoka kuroka kwenye Maandiko Matakatifu yanayowataka wao wasiamini kitu kingine chochote zaidi ya maandiko yenyewe. Hawawezi kuelewa insi mtu mwenye busara asivyoweza kumuona Mungu kihalisia, wakati hao wenywe wakishindwa kumpa Neno wake heshima yake anayostahili kwenye teolojia yao. Wakijifanya kuwa ni mabingwa wa kuielewa Biblia, wanaijumuisha imani hii pasipo haya wala kujisikia vibaya na kuiujumuisha kwenye ukiri wao wa imani na kuzzusha kuwa inatangamana na maandiko na kuifanya iwe na mashiko na tafsiri maarufu. Hebu basi Wahafidhina hawa pamoja na wenzao Waevanjelikani watangaze wazi kwamba ukiri wa imani yao waiyoitunga sio ya muhimu, bali ni Neno la Mungu tu ndilo muhimu, na wanaweza kuachana kuamini yale yanayomfanya kuzikanganya Baraka nyingi za Mungu.

 


 

Mungu na Baba wa Kristo

 


Tofauti iliyopo kati ya ukamilifu wa Mungu na uhusiano wke vinaendana na Maandiko Matakatifu. Pamoja na kufanana kulikopo, kuna tofauti inayosisitizwa. Baadhi ya nyaraka hizi ni muhimu katika kudhihirisha mfanano wake. Mombezi ambaye haonekani kwa macho wal hasikiki kwa masikio ya kibinadamu hawezi kupatanisha au kuombea. Anapaswa kuwa tofauti na Mungu wake kwenye hizi viambata vya muhimu za Mungu mwenyewe mkamilifu. Mungu Mwenyezi anajua kwamba hakuna Mungu mwingine aliye juu yake. Bali Mwana anasisitiza kila mara yeye anaye Mungu aliye juu yake. Utukufu wa Kristo na fahari yake ilikuwa ni kuyatenda mapenzi ya Mwingine. Kile kinachopendeza zaidi kwenye maneno yake yote si kingine zaidi ya kutamka kwake kuwa, “Sio kama nipendavyo Mimi, bali ni kama upendavyo Wewe”? Je, Mungu wake alikuwa anasema yale yale na kujiambia mwenyewe? Ni kinyume kabisa. Mapenzi ya Mungu ni lazima yatatokana na kujinyenyekesha kwake Kisto.

 

Uungu wa Mungu ni msingi muhimu kati ya mambo muhimu ya msingi. Unaweka msingi wa kweli yote na inapunguza makosa yote. Kutoka na kuachaa nayo ni mlango wa kwanza wa upotofu wa mwanadamu. Huku wakiwa wanamjua Mungu, wanadamu waweshindwa kumtukuza au kumshukuru yeye kama Mungu (Warumi 1:21). Hiki ni chanzo cha mmomonyoko wote wa kiakili na kimaadili. Kushindwa huku kwa kimsingi hakujajulikana na wasioamini. Imeharibu au kupotoa teolojia kubwa na umepotosha mawazo ya watakatifu wengi. Sio tu kuhusu imani ya uungu peke yake—wenye hekima wachache na wasomi hukata kuwa kuna Mungu. Ingawaje, wachache, kati ya wanadamu wanakubaliana kabisa yote yaliyoelezwa kwa kumpa Mungu utukufu kama Mungu, kwa kuutambua ikamilifu uungu wa Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo.

 

Uungu unaanza kwa uhusiano. Yeye ambaye na Mungu basi sio Mungu. Yeye aliye na ufahamu au akili, kutoa, ni Mungu. Yeye anayepokea siye. Hakuna awezaye kumpa Mungu kitu chochote ambacho hakijawa chae bado. Anapokea kila kitu kutoka kwake. Paulo aliutangaza ukweli huu wa msingi na muhimu kwa Wasomi wa Falsafa wa Athene. “wala hatumikiwi kwa mikono ya wanadamu kana kwamba anahitaji kitu cho chote; kwa maana ndiye anayewapa wote uzima na pumzi na vitu vyote.” (Matendo 17:25). Yeye ndiye Mtumaji au Mpelekaji. Hakutumwa. Mapenzi yake hayaonekani. Hajitoi kufanya mapenzi ya mwingine. Ni kwa nia hii ya kiuhusiano ambapo Mungu mkamilifu anajidhihirisha menyewe kwenye Maandiko Matakatifu.

 

Mungu hana Mungu mwingine juu yake. Yeye ni wa Pekee. Uungu wake ungeharibika iwapo kama angemshirikisha wenyezi wake na kiumbe mwingine. Hakuna aliye na Mungu kwa kiasi kinachohitajika na Mungu. Mwana anahaiba ya Kimungu kwa kiwango kinachofikia kikomo chake, na kwa namna shirikishi tu. Kilio chake cha, “Mungu wangu, Mungu wangu. Mbona Umeniacha?” (Mathayo 27:46) sikisingeweza kusikika kikitoka kwa Mungu. Yeye ni mtu aliyeomba sana. Mungu Mwenyezi hawezi kuomba msaada kwenye Mamlaka yoyote iliyo juu yake. Asingeweza kuachwa psipo msaada na mtu mwingine kwa maadui zake. Asingeweza kuteseka hadi kufa kama ilivyofuatia kilio cha kuvunjika moyo, kwa kuwa yeye ni uzima wa wote waliohai. Ingawa Kristo anamdhihirisha Mung kwa namna nyingi muhimu, kuna sababu nyingi za utofauti kati yake na Mungu wake, hususan pale Golgotha.

 

Mungu mwenyewe hawezi kumhitaji au kuhitaji msaada wa Mungu mwingine. Mungu mwenyewe hana jina la cheo la kujitambulisha zaidi hili la “Mungu na Bwana wa Bwana wetu Yesu Kristo.” Ambaye pia ni Mungu wa Kristo ni utukufu mkubwa sana kwake. Ili ajulikane kuwa ni Baba wa Mwanae ndio hamu yake kuu wa moyo wake.

 

Yeye ni Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo. Yeye sio mkuu zaidi ambaye ni Muumbaji Asiyejulikana na Asiye na upendo na Mtendaji au mwendeshaji wa yote, bali ni Mungu aliyedhihirisha moyo wake kwa kupitia Mwombezi, kwa yeye atauokoa na kuupatanisha ulimwengu na yeye mwenyewe. Yeye ni Mungu wa yule ambaye kwa unyenyekevu wake na aibu, pamoja na utawala wake kwa hili, ukamilifu mkubwa na mzuri sana wa majina yote na vyeo vya Mungu (2 Wakorintho 1:3; Wafilpi 1:3; Wakolosai 1:3). Ni utukufu mkubwa na wa thaamani kubwa unaoonekana kwa wote wanaopenda kuona mbali zaidi ya furaha yao na kiwango cha baraka ambayo Bwana wetu Yesu Krtisto ameyaleta kwa Mungu wetu na Baba yetu.

 

Kwenye mwingiliano huu pamoja na wanafunzi wake, Bwana wetu alimtaja mara kwa mara Mungu kama ni mwingine na sio yeye mwenyewe. Lakini sio kwamba alianzisha uhusiano tu kati ya Mungu na wanafunzi wake, na kujishirikisha yeye mwenyewe na wao kwenye hili, lakini hasahasa alimwelezea eye aluye alikuwa ni Mwamuzi wake, Yeye aliyempekelea maombi yake, yeye aliyemshukuru kwenye dua yake ya shukurani. Hatupaswi kushangazwa kwamba mtazamo wa uhusiano huu unapaswa kupewa kwa kidogokidogo. Zaidi sana tunapaswa kushangazwa kwamba pazi lilikuwa limefunuliwa, ili kwamba tuingie kwenye kiini cha upendo au kukumbatiwa kwa ushirikiano kati ya Baba na Mpendwa wake.

 

Inapasa kukumbuka kwamba tofauti iliyopo kati y Kristo na Mungu ulikuwa mwepesi mno kwenye matukio mawili a huduma yake, wakati kazi yake inaonekana kushindwa. Baada ya kukataliwa kwake huko Kapernaumu alionyesha hisia zake kwa kuacha kutilia maanani nia yake ya kimungu. Alijua kwamba kushindwa kwake wa wazi kulikuwa ni hatua ya mafanikio ya Mungu. Na ndio maana alimuita Baba yake kuwa ni Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa alificha ujumbe kwa wanasheria na wenye busara (Mathayo 11:25,26). Ni wazi sana kwamba walikuwa wanafanya kazi kwa kusudi kingamo. Kristo alikuwa anamdhihirisha Mungu jinsi alivyo. Jinsi ya kushangaza ya kumuona Kristo akimshukuru Baba kwa kushindwa kwake wazi wa kuchukuliana kwake na dunia! Alikubali kushindwa kama kwa kufanya kwake hivyo kutampendeza Mungu. Kama angekuwa yeye ni Mungu basi hangeshindwa na lolote.

 

Kuonyesha kikamilifu kuhusu uhitaji wa Kristo wa kumtegemea Mungu wake na Baba yake kunakutikana kwenye maombi yake aliyowaombea wanafunzi wake (Yohana 17). Anafanya jinsi sisvyowezena kabisa kwa Mungu kwa kujinyenyekeza mwenyewe na kazi zake zote kwa Baba yake. Hana sehemu kwa sasa ya kuwa sawa nae. Mamlaka yake ni ya kukirimiwa tu (17:2). Analichukua na kulitendea kazi agizo (17:3). Hajitukuzi mwenyewe, bali anamtukuza Mungu (17:4). Hafanyi kazi, si kwa ajili yake mwenewe (17:4). Umoja unaodumu kati ya Mwana na Baba unafafanuliwa maana yake kwenye aya ya 22 kwa uhusiano wak na hamu yake kwa umoja kwa wanafunzi wake. Ni umoja war oho na ni jami ya yenyekupendeza ambayo yaliwapata na kuwafanya wamoja wanafunzi wa zamani. Hakuna wazo la kutambulisha. Kutokana na maombi yake ya ajabu, tunasikia dua ya kujinyenyekesha na kuhitaji msaada ya Mwana na Mtumishi akimuomba yeye aliye na uweza na mamlaka. Basi na tusiuchukue kabisa maana yenye utukufu ya uhusiano huu kati ya Kristo na Mungu wake ambay pia ni baba yake.

 


 

Chanzo na Mlolongo

 


Kichwa cha maneno kikubwa sana ambacho kimamlaka inaonyesha nafasi au hali ya Mungu, Baba na Bwana wetu Yesu Kristo, unaelezea uhusiano wao na ulimwengu kwa maana ya ushabihiano wa namna mbili. Wot walio nje ya Mungu. Wote ni kwa kupitia Bwana wetu. Ndipo tunasoma, “lakini kwetu sisi Mungu ni mmoja tu, aliye Baba, ambaye vitu vyote vimetoka kwake, nasi tunaishi kwake; yuko na Bwana mmoja Yesu Kristo, ambaye kwake vitu vyote vimekuwapo, na sisi kwa yeye huyo (1 Wakorintho 8:6). Tofauti iliyopo hapa ni kubwa na wazi. Ni muhimu kwenye sehemu iliyofanywa na Kristo kwa ajili ya kipindi kisichojulikana. Hakuna kinachoanza nje yake, ingawa yeye ni Chanzo na Ulaji. Wote wanatokana na yeye, tangu mwanzo hadi mwisho. Yeye ni Daraja, sio Chanzo au Kiini cha mambo yote. Ni uthibitisho wa uvuvio wa kimungu kwamba Maandiko Matakatifu kilamara yanaunga mkono hatua hii. Ni kweli ya Kristo kwenye nadharia yake yote.

 

Hatujaambiwa kamwe kabisa kuwa tunatokana na Kristo, bali tunatokana na Mungu. Kwa kweli, Kristo anasema kwamba yeye mwenyewe alitoka kwa Mungu (Yohana 8:42). Wote wanatoka kwa Mungu (Warumi 11:36). Ila kamwe Mungu hashughuliki na sisi isipokuwa kupitia kwa Mtiwa Mafuta wake. Kwa hiyo, wakati wote wakitokana na Mungu Baba, wote wanaunganishwa kwa kupitia kwa Mwana. Ni kwa kuwa na lugha iliyo karibu na lugha ya Wito Mtakatifu kwamba tunaweza kutumaini kupata wazo kamili la ufunuo wa Baba na Mwana.

 

Toleo letu tulilolizoea, hata hivyo, linatupotosha kwenye jambo hili. Kwenye sura ya kwanza ya mandiko ya Yohana tunasoma kwamba “Vyote vilifanyika kwa huyo;” (Yohana 1:3), na tena inasema, “hata kwa yeye ulimwengu ulipata kuwako” (Yohana 1:10). Kwenye mambo haya yote mawili ingekuwa ni kwa kupitia. Logos, au Neno la Mungu ilikuwa ni njia ya kufanya yote, sio Sababu pekee ya kwanza kwa wote. Kamwe Kristo hakutumwa awe kama Chanzo au Kiini kikuu. Shughuli kama hiyo inaharibu sababu ya ujio wake kama Mwombezi. Ni upotoshaji na kumkosea yeye Aleye Juu ya vitu vyote. Inapelekea mkanganyo wa kimapokeo unaoweka kiza teolojia ya Kikristo. Imeifanya iwe kama hirizi kukubalika kama ni jambo linalovuta au kukubalika na akili na ufahamu.

 

Petro, alipokuwa anawahubiria Waisraeli wenzake siku ya Pentekoste, alisema kwamba uweza na miujiza na ishara alizozifanya au zilizoonekana wakati wa huduma ya Masihi, vilifanywa na Mungu kwa kupitia Kristo (Matendo 2:22), ni kama miujiza iliyofuatia baadae na ishara zake zilikuja kufanyika kwa kupitia mitume (Matendo 2:43). Tena tunasoma kwamba Mungu atahukumu vitu vilivyofichika vya mwanadamu kupitia Yesu Kristo (Warumi 2:16).

 

Alipokuwa anafundisha kweli kuu, mtume Paulo anatoa maelezo maalumu kwa ukweli kwamba kutokana na Mungu (2 Wakorintho 5:18), na ni kwa kupitia kwa huyu Mwana wake (Warumi 5:10,11; 2 Wakorintho 5:18). Sawasawa kabisa na hilo, mafanikio makubwa ya upatanishi wa vyote yanahusiana na yeye ambaye Mwana wa wa Pendo lake Mungu (Wakolosai 1: 13,20).

 

Tunahitaji kwa kiasi kikubwa sana kusisitiza kwamba wokovu unatokana na Kristo. Mungu mwenyewe ndiye Wokovu wetu (soma 1 Timotheo 1:1; 4:10). Hakumwachilia Mwanawake. Alifanya wokovu kwa kupitia Mpendwa wake (Waefeso 1:6,7). Na ndivyo ilivyo kwa watu wake wa kweli.

 

Vyote viliumbwa kutokana na huyu Mwana

Hii inajulikana kwa kupitia ufunuo wa hali ya juu sana kuhusu Kristo, kwenye waraka wa Paulo kwa Wakolosai. Tafsiri ya AV inapotosha hili kwenye (1:15-17): “naye ni mfano wa Mungu asiyeonekana, mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote. Kwa kuwa katika yeye vitu vyote viliumbwa, vilivyo mbinguni na vilivyo juu ya nchi, vinavyoonekana na visivyoonekana; ikiwa ni vitu vya enzi, au usultani, au enzi, au mamlaka; vitu vyote viliumbwa kwa njia yake, na kwa ajili yake. Naye amekuwako kabla ya vitu vyote, na vitu vyote hushikana katika yeye.Ila ifafanuliwe mara ngapi na ipatikane kila mara kiasi gani kama tutatafsiri, kama mahala pengine popote, ndani yake sote tumeumbwa, na wote wameumbwa kutokana nay eye na kwa yeye, na yeye yu kabla ya wote, na vyote vinatokana nay eye. Ni kama ilivyoelezwa mahala pengine kuwa, yeye ni Kiumbe wa Mungu aliyeumbwa tangu Mwanzoni (Ufunuo 3:14), au ni kama tafsiri ya AV inavyokumbushia, mwanzo wa uumbaji wa Mungu.

 

Bado mwanga zaidi unatupwa kwenye uombezi wa Kristo kwenye Waebrania 1:2 ambapo analetwa au kuonekana kama Kiunganishi cha kwenda kwa yeye ambaye hawa wana wengine yaani eons wanatokea, ili kwamba wakati pamoja na mambo mengine na nguvu zimeletwa hapa duniani kutokana na yeye.

 

Si wote waliopewa kujua haya

Kilicho muhimu kwa yote haya kushukuru utukufu wa Mungu wetu na wa Kristo wake, yatupasa tusisahau kabisa kwamba anachokumbusha Mtume Paulo kwenye 1 Wakorintho 8 ambapo kwanza analifanya tofauti hili kati ya Mungu na Kristo wazi. “Ujuzi huleta majivuno, bali upendo hujenga. Mtu akidhani ya kuwa anajua neno, hajui neno lo lote bado, kama impasavyo kujua.” (1 Wakorintho 8:1,2).

 

Leo, inaonekana pia kuwa ni wachache sana walio na uelewa kidogo hapa wanaodhaniwa. Je, Wakoritho hawa walijua kuwa kuna Mungu mmoja, na kwamba kutokana na yeye vitu vyote (vikiwemo vinyago au sanamu zinazotolewa sadaka), dhamira zao hazikuwahukumu walipokuwa wanakula sadaka hizi. Lakini upendo wa kweli utawajali wengine ambao hawajui jambo hili, na watatashwitika kama watatuona sisi tukifanya kitu chochote kinachoonekana kuwa ni kinyume na mapenzi ya Mungu. Wengi wetu hatupendi kabisa kula dhabihu au sadaka zilizotolewa kwa sanamu, ila tunaweza kufanya hivyo kama “kuvunja Sabato” (kufanya kazi siku ya Sabato) ambapo watakatifu wengi wanachukulia kuwa ni kitendo cha kumchukiza Mungu na ni kinyume na maagizo ya Neno lake. Wengine hata wanatilia maanani usemi wa kwamba vyote vinatokana na Mungu, ambavyo ni mafundisho potofu nay a hatari sana, ni vibaya mno kuliko hata dhambi nyingine yoyote.

 

Hebu na tuwe waangalifu ili ujuzi wetu usijekuwa kikwazo cha kuwakwaza walio dhaifu wa imani, na tuchukuliane na wale walio wachanga wa imani na wasioamini. Hebu na tusionyeshe roho potofu na ya isiyo njema, ambayo ni alama ya makosa na uovu. Hebu na tuchukuliane hata na wale wanaopenda kuupotosha utukufu kuu wa Mungu kwa kutumia kurasa za Neno lake. Mbali na neema yake tungekuwa na hatia ya kitu kilekile. Hebu na tuombe kwamba mwenendo wetu uwe hivyo ni kama kuwafanya wengine watilie maanani na kukubaliana na kweli yake kwa kina, kwa kuwa ameiweka wazi kwa Neno lake kwamba, kwa sasa, hauweki ujuzi huu kwa watu wote.

 

Tena, kwetu sisi wenyewe, tunafurahi kwenye nuru yake kuu ambayo tumepewa kwa utukufu wake. Wote tunatokana na Mungu, na vyote vinapitia kwa Mwana, Bwana wetu Yesu Kristo.

 


 

Sio Mapenzi Yangu

 


Mungu anaiendesha na kusimamia mwenendo wa dunia ili iende sawasawa na kusudi la mapenzi yake (Waefeso 1:11). Hatuambiwi jambo hili hadi anapoifunua siri ya Kristo, kwamba yeye anapaswa kuisimamia maongozi ya dunia kwenye nyakati za mwisho. Mbali na ufunuo huo inaongezeko la kiasi cha juu. Ni kama tunavyoamini ahadi, kwamba ataleta machafuko yaliyopo leo hadi mwishoni na kumpa vyote Mtiwa Mafuta wake, na kwamba tunaweza kukubaliana na wazo kwamba mkanganyo unayoendelea leo unaliondolea mbali kusudio hili. Kuna mengi sana linaloonekana kuathiri vibaya na upinzani mkubwa usiopona wa kuyapinga mapenzi ya Mungu ambayo tunashikamana nayo badala ya kufikiri kwamba dunia inaendeshwa kwa maongozi ya Shetani likipingana na malengo au nia yake.

 

Kuna umuhimu mkubwa sana kwamba tusikose msukumo wa neno shauri. Dunia haipo kwenye mstari wa mapenzi ya Mungu. Upo kwenye hali iliyo sawa na mashauri ya mapenzi yake. Kwa hekima ya Mungu anatumia upinzani au kinyume chake kwenye mapenzi yake yaliyo funuliwa ili kutendea kazi lengo lake lililofichika. Nguvu za uovu ni kinyume na mapenzi yake; ingawaje wanaleta mwisho alionao kwenye mtazamo. Watu wanadhani kwamba wanamtukuza Mungu. Uhalifu mbaya sana waliowahi kuufanya dhidi yake ulikuwa ni kumtesa na kumsulibisha kwao Kristo. Kwa hakika hii ilikuwa ni kinyume na mapenzi yake! Bali ilikuwa ni sawasawa na maagizo au mashauri yake halisi. Badala ya kuyazuia maendeleo ya mapenzi yake iliisaidia kama hakuna tendo lingine lolote limewahi kufanywa. Ndivyo kwa upinzani mwingine wowote dhidi ya mapenzi ya Mungu. Atathibitisha hili kwenye mashauri yake, na kutumia kupata makusudi yake.

 

Hebu na tukumbuke kwamba Kristo yupo tu kwenye upande wa pili wa makusudi ya Mungu. Matendo yanathibitisha mapenzi yaliyofichika ya Mungu. Shetani na ushawishi wake wote unaofuatia kutoka kwake unatia nguvu upande mbaya. Wanahitimisha mashauri ya Mungu kwa kuyaimarisha mapenzi yake. Kristo anafanya hivyo kwa kuthibisha tu hilo kikamilifu. Ndipo, kwenye hatima milele na milele, Shetani ataangamizwa na Kristo atavikwa taji kuwa Mkuu wa viumbe vyote. Kisha ndipo mapenzi ya mashauri ya mapenzi yake hayataweza tena kutofautiana. Kusudi lake halitahitaji tena upinzani kwa kukamilika kwake. Chini ya uongozi wenye faida wa Mwana wa Mungu, uovu hautakuwa muhimu tena kwa ufunuo wake. Mapenzi yake kwa hiyo yatafanyika.

 

Ni muhimu kwa maombi yetu ya sasa kuona kwamba Kristo hajumuiki moja kwa moja na makusudio yaliyopangwa na Mungu. Analijua hilo, lakini hajapanga hilo au kuliweka kwenye matendo. Tukio moja dogo kwenye huduma hii italiweka wazi hili. Wakati miji ambayo natendo yake makubwa zaidi yalifanika haikutubu. Hakukatishwa tama, ila alimwabudu Mungu akisema, “Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima na akili, ukawafunulia watoto wachanga. Naam, Baba, kwa kuwa ndivyo ilivyopendeza mbele zako!” (Mathayo 11:25). Bwana wetu hakuficha maneno yake kwa watu. Alikuwa kwenye mapenzi ya Mungu kwa kuyafanya yajulikane. Na huku akiwa anayafunua mashauri ya Mungu. Wanafanya kwa ushirikiano kwa kila mmoja wao na mwingine. Kristo habadilishi taratibu zake ya kuzithibitisha kazi za Mungu anaridhia na kuabudu, ila anaendelea kutenda sawasawa na mapenzi yaliyofunuliwa na Mungu, sio kwa utendaji wa shauri lake au kusudio lake. Kwa ajili hii, Kristo anatenda kazi kwa upande mmoja tu wa utendaji wa kazi za Mungu.

 

Moja ya jambo la ukweli unayoogopesha zaidi kuhusu Kristo ni mkano wote kamili wa mapenzi yake. Mwanadamu pekee ambaye aliaminika kuyafanya matendo sawasawa na kwa hiyari yote alitangaza haki ya kutenda hivyo. Hakuweza kuyabeba au kuyachukua mapenzi yake mwenyewe. Ni kweli kwamba, alikuwa karibu kilamara ahitimishe kutangamana na mapenzi ya Mungu, ili kwamba kusiwe na anguko. Ila hata hivyo, mapenzi ya Bwana yalitokana na Mungu mwenyewe.

 

Wakati wote aliohudumu kwenye huduma yake hapa duniani Bwana wetu hakutabiri kabisa. Ilikuwa ni huduma yake kuyatimiliza mapenzi ya Mwingine. Wakati alipoingia duniani, alisema, “Tazama, nimekuja ... Niyafanye mapenzi yako, Mungu.!” (Waebrania 10:7). Hii ni moja ya utukufu wake wenye neema. Hebu na tusimnyang’anye hili kwa kumfanya afanane au tumfananishe na Mungu kwa jambo hili. Iwapo kama tutafanya, yeye atahitimisha. Kristo wa Mungu hawezi kutungwa na mapenzi ya nguvu iliyosawa na Baba. Lakini bado kwenye tabia zinazofanana na haiba ya Mungu, ni kipi kilichojumuika pamoja zaidi ya mapenzi makuu? Kama kuna “mshikamano” wowote ambao unaanzisha dhana ya uungu, inaweza kwa kiasi kikubwa kutunga au kuanzisha hitimisho au kikomo.

 

“Sio Mapenzi yangu, bali ni yake Yeye” ni ashirio linaloakisi ambayo inadhihirisha uwepo endelevu kati ya mapenzi ya Kristo nay a Mungu wake. Ipo kinyume na majivuno ya mjinga ya watu wapumbavu wanaolia kuwa “Nahitaji kile ninachokihitaji na wakati ninapokihitaji!” Kristo anajua ukweli wa kwamba kuna nafasi ya mapenzi pekee ya mwenyezi mmoja duniani ambalo linatenda kazi sawasawa na mashauri yaliyo kwenye mapenzi ya Mungu (Waefeso 1:11). Anasisitiza kwamba mapenzi yake mwenyewe hayatoshi. Wakati alipojikuta mwenyewe nje ya mstari wa mapenzi ya Mungu, alimwinamia. Kwa tendo lile moja analisafisha eneo lake. Akiwa kama Mtendaji Mkuu wa mbinguni na Mwakilishi, mapenzi yanahusiana na Uungu wake, lakini, alipotakiwa akateseke kama Mwokozi, alipaswa ayatoe mapenzi yake kwene mapenzi ya Mungu.

 

Eneo la mapenzi sio haiba stahiki ya uungu. Huenda nia u malengo yote ya uumbaji wa Mungu yametuama kwa kiasi fulani ya hiyari. Lakini hakuna hata mmoja wao anayeweza kuchukua mapenzi yao isipokuwa kwenye kipimo ambayo kwamba viwango hivi na makusudi ya Mungu. Mapenzi ya Mungu ni kamili na linashinda kabisa. Halijawahi kusaidiwa lenyewe na lenyewe. Yeye anayeingiza mapenzi yake na makusudi ya kimungu anafanana na Mungui lakini sio Mungu. Ukweli uliopo ni kwamba anajitoa kwa Mwingine ni uthibitisho chanya kwamba mapenzi yake sio yatukufu.

 

Uthibitisho wa jumla wa Kristo haumfanyi ajivunie mambo ya moja kwa moja, hata kwenye huduma yake mwenyewe, inaonekana kwa uhakikisho wake uliorudiwarudiwa kwamba hakuifuata hiyari yake mwenyewe. “Mimi siwezi kufanya neno mwenyewe;” (Yohana 5:30), aliwaambia Wayahudi waliomuuliza kuhusu Ushirika wake. Mtiwa Mafuta mweyewe sio Mungu anayeamua sababu za kihistoria. Yeye ndiye aliyechukua kiwango chake yeye ambaye mapenzi yake ni bora. Tena anawapinga kwa kusema, “Kwa kuwa mimi sikushuka kutoka mbinguni ili niyafanye mapenzi yangu, ...” (Yohana 6:38).

 

Kama ana mapenzi yake mwenyewe, inategemea kwenye mapenzi ya Mungu, ni dhahiri kutoka kwenye maandiko yaliyopo na yaliyokwisha kunukuliwa. Bali ilikuwa wakati wote kamili sana ikilingana na mapenzi ya Baba yake ambayo kiutendaji au kimatendo ni wamoja kwenye utendaji au uendeshaji. Wakati ulikuja, hata hivyo, wakati mapenzi ya Mwana hayatakinzana na mapenzi ya Baba yake. Kwa mtazamo wa mateso matukufu ya pale mtini. Roho yake ilizima na mapenzi yake hayakuridhiwa. Ndipo kilio chake cha uchungu cha, “Ee Baba, ikiwa ni mapenzi yako, uniondolee kikombe hiki;” (Luka 22:42). Hakupenda kupitia mateso makali yaliyompata na ambayo Mungu aliyandaa yampate na kupimwa kwamba ayngeyamudu. Alijikuta akiwa kwenye hali nguvu ya kutisha kwenye kivuli cha giza ambao ungemuandaa kutoka ushirikiano na Mungu. Alikuwa nje na mapenzi ya Baba yake. Yampasa mmoja wao ajitoe au kujinyenyekeza na kujishusha.

 

Ni kwa mtafaruku huu ndipo tunaona kwa wazi kabisa ghuba pana iliyopo kati ya mapenzi ya Mungu na yake. Mungu asingesema, “Sio kwa mapenzi Yangu.” Asingeyatoa, mipango yake yote ingeshindwa. Makusudio yote ya uumbaji yangeporomoka. Sadaka au dhabihu ni lazima itolewe, au dhambi inaweza kuondoa kiti cha enzi cha Mungu. Matumaini ya ulimwengu kulitegemea hatua hii ya kutofanyia mzaha mapenzi ya Mungu. Na matarajio ya viubbe au watu wote ni kama yalivyotegemea upindishaji wa mapenzi ya Kristo. Ni kama muhimu tu kwamba Mwana angefanya mambo kama Baba alivyopenda yafanyike. Utukufu wa Mungu ndiyo azimio lake analolikazania sana. Utukufu wa Mwana ndiyo lengo lake linalofuatia au la pili.

 

Ni wachache kiasi gani miongoni mwetu tunajua umuhimu mkubwa wa kile kilio alichokifanya cha maumivu makubwa akisema: “Sivyo nipendavyo Mimi, bali upendavyo Wewe!” kwa wakati wote, huu ndiy utukufu wa Kristo. Kabla ya kuzaliwa kwake hapa duniani, wakati wa maisha yake ya hapa duniani, kwenye ufufuko wake wenye utukufu, kwenye unyenyekevu wake wa mwisho na kwenyji, mara zote alijitoa kuyafanya mapenzi ya Mwingine. Kwa hili, utendaji sahihi wa kazi yote ya Mungu? Haiwezi kuwa hivyo. Zaidi sana ni kwamba, wakati, mara tu akiwa kwenye kuyatenda hayo, anajikuta akiwa kinyume na mapenzi ya Mungu, akiwa anahitaji kuyatenda mapenzi yake, kama Mungu alivyopenda? Hakufanya hivyo. Wakati pekee aliowahi kutamani kutenda jambo kivyakevyake mbali na Mungu, aligeuka na kuyarudisha mapenzi yake, na kuyatenda yale ya Baba yake.

 


 

Mtoaji na Mpokeaji

 


Mungu na Kristo wanafanana na kuhusiana kwa muundo wa Mtoaji na Mpokeaji. Mungu alimpa maneno halisi alinena, roho yuleyule ambaye aliyeyatamka, wanafunzi wakati waliposhinda, uweza wake na kiti chake cha enzi na utukufu wake. Hivi vyote ni karama kwake kutoka kwa Mungu. Mungu kamili hawezi kuhitaji kupokea vipawa au karama kama hizi, kwa kuwa yeye mwenye ni Mmliki na Chimbuko la vitu vyote. “Tunapomtolea” Mungu tunachokifanya sisi ni kumrudishia au kuongesha ukiri wetu kwamba vitu hivi kwa hakika ni vyake yeye tu, na vimetoka kwake. Hatahivyo, Kristo, anaweza kuvipokea. Huu ni utukufu wake kamili, kwa uhusiano wake na Mungu.

 

Tangazo, lililotoka modomoni mwa Kristo, lilionekana ndilo lenyewe kana kwamba lilitoka mawazoni mwake mwenyewe hata walipotamkwa kuoka kinywani mwake. Lakini yalikuwa na uvuvio kwa namna ya kipekee. Wakati waliponena wengine, rekodi ya maneno yao kwa kawaida ilikuwa imevuviwa. Lakini kwake yeye, meneno yenyewe yalikuwa ni karama ya Mungu kwake, na kwa kupitia kwake hadi kwa wanafunzi wake. Hakuanzisha falsafa ya maisha na kuipitisha hadi kwa wafuasi wake. Alikuwa na mtazamo mpana wa kimungu, na kunena kama hakuna mtu mwingine aliyewahi kunena, kwa kuwa maneno yake yalikuwa ni kipawa kutoka juu. Alisema, “Kwa kuwa maneno uliyonipa nimewapa wao” (Yohana 17:8). Tena anasema, “Mimi nimewapa neno lako” (Yohana 17:14).

 

Walimpokea wanafunzi wake wote akiwa kama kipawa toka kwa Mungu. Hakudai kuwa amewashinda wao kwa nguvu zake za ushawishi. Kwa kweli, hakuwa na matarajio kwamba yeyote yule angemfuata isipokuwa wale ambao Baba yake aalimpa (Yohana 6:37). Ikiwa kama karama kutoka kwa Baba, hawakuwa tofauti kwenye matarajio yake mwenyewe peke yake, bali ni ya Baba yake (Yohana 10:29). Maombi yake ya dua, kwenye sura ya kumi na saba ya Yohana, inamaelezo kamili ya wale ambao Baba alimpa. Walipokea maisha ya watu au zama kale (Yohana 17:2). Amewajulisha wao jina la Baba (aya ya 6). Karama hizi bado ni za Baba (aya ya 9). Atakuwa nazo (aya ya 11). Kristo alipenda na kuwanazo (aya ya 12). Watauna utukufu wake (aya ya 24).

 

Shughuli ya kuhukumu amepewa Mwana. Sio haki yake ya kiurithi. Hii kazi na jukumu lake Mungu. Amepewa na kuruhusiwa Kristo kwa ajili ya utiifu wake (Yohana 5:22,26,27). Mamlaka yote ya Kiserikali ni yake kama zilivyo hizi karama pia (Mathayo 28:18; Yohana 17:2). Bwana Mungu atampa kiti cha enzi cha Baba yake Daudi (Luka 1:32). Utukufu wote ambao ni wake sasa na siku zijazo unatoka kwake kutoka mikononi mwa Baba (Yohana 17:22,24; 1 Petro 1:21). Haya yote yanamfanya yeye awe kama Mpokeaji. Mungu anamwaga karama zake kwa Mwana wake. Haiupunguzi utukufu wake kuwa kwenye kiwango cha chini “kumpa” Mungu nafasi yake ya kweli akiwa kama Mpaji mkubwa.

 

Maombi aliyoyawafundisha wanafunzi wake yaliwaambukiza tabia yake ya kupenda kuyafanya mapenzi ya Mungu (Mathayo 6:10; Luka 11:2). Hakumuomba Baba amsaidie kuyatenda mapenzi yake mwenyewe. Wanafunzi vilevile hawapaswi wawe na tabia ya kutenda mambo yao wenyewe, bali ni kujitoa kuyatenda mapenzi ya Mungu na kujitahidi kuyatimiliza. Bwana wetu hakutafuta kamwe mapenzi yake mwenyewe kwa wanafunzi wake. Alihitaji kujitiisha mwenyewe tu kama utii aliopewa. Alikuja, sio kwa jina lake tu, ila kwa jina la Mungu na Baba yake. Ni kazi yake kujidhihirisha mwenyewe, ili kwamba, hatimaye, mapenzi yote yaelekezwe moja kwa moja kwa mapenzi ya Mungu, pasipo kuingiliwa na yeye.

 

Itakuwa ni lazima kwamba ni lazima tutofautishe kati ya nyakati za Kristo za kabla ya kuzaliwa kwake na za baada ya kuzaliwa kwake hapa duniani na kazi zake, pamoja na utukufu wake wa sasa na ujao. Kwa kawaida imesisitizwa kwamba kenosis yake, au kuondolewa ujazo kwake, kutaonyesha unyenyekevu wake alipokuwa hapa duniani. Suali linaweza kuwa kiurahisi sana na kwa kutosheleza kwa maamuzi uhusiano wake wa mwisho na Mungu baada ya siku nyingi kupita. Je, ataweza kwa hiyo kupata tena nafasi yake kamili kwenye “utatu” na kuiacha nafasi yake ya utii au kupokea na kuyatekeleza maagizo ya Mungu wake aliye juu a bora kuliko yeye? Ni kinyume na haiwezekani kabisa. Kwa kidogo kama ilivyodhihirika kwamba utukufu umekuwa ulaji wenye kutukuka, nafasi yake ya mwisho hapa duniani iko wazi na imeelezewa wazi. Mwana pia atakuwa chini ya Mungu, pamoja ulimwengu mwingine wote uliobakia (1 Wakorintho 15:28).

 

Unyenyekevu ni kitu muhimu sana, utukufu kamili wa Mwana wa Mungu. Wakati wa zama kale mbili wa mwisho atatumia uweza na mamlaka yake, ili kwamba wengi waweze kuwa chini yake. Atakuwa Mtawala wa ulimwengu wote. Atawatiisha viumbe wote walioumbwa na Mungu kwake. Ili afanye hivyo itampasa atende hivyo kwa mamlaka ya Mungu, akitumia mamlaka na haki za Mungu. Atakapokuwa anafanya hivyo, ndipo anapoitwa yeye Mungu. Lakini wakati anapohitimisha, hatarudi kwenye haiba ya yeye kuwa Mungu kamili, kama mafundisho ya waamini imani ya utatu yanavyosisitiza, bali ataacha kuwa na haiba hiyo na shughuli zote zinazomhusu Mungu. Atakiachia kiti chake cha enzi kwa hiyari. Anaacha mamlaka yake ya kibinadamu na kuchukua nafasi yake ya kuwa mdogo na msaidizi.

 

Inaaminika kwamba unyenyekevu huu unaendana tu na kazi ya uombezi. Lakini ukweli ni kwamba kazi yake ya kuwa Mwombezi imeisha wakati huu. Yeye sio Mfalme, na wala sio Kuhani. Na wala yeye sio Nabii. Huduma zake zote za yeye kuwa Mwombezi zitakuwa zimekamilika. Zinaishia kwenye ukomo, kwa kuwa lengo au kusudi lake litakuwa limehitimika. Unyenyekevu ni jambo la kipekee kabisa. Haitwi Kristo, bali ni Mwana. Mwana Mwenyewe atanyenyekea pia. Anavitiisha vitu hivi vyote kwa Mungu, na anaungana kwenye kundi la wanyenyekevu hawa ili kwamba Mungu awe yote katika yote na ndani ya yote. Yeye ndiye aliyewaongeza wengine wote ulimwenguni, kuwa wanyenyekevu kwa Mungu ulimwenguni.

 


 

Mtumaji na Mtumwaji

 


Mungu hutuma wajumbe wake, lakini yeye hatumwi. Mwanae ametumwa, lakini hakumtuma Baba yake kabisa. Uhusiano huu ni wa kimsingi. Sio ni mpangilio wa kitambo wa kimaombezi tu. Unadumu na kuendelea kama kwa wakati wote kwa njia ya ufunuo. Matendo haya hayawezi kurudi tena kamwe. Mungu wakati wote ni Mtumaji, na Mwana mara zote ni Mjumbe. Huu ni uhusiano muhimu na wa msingi sana, unaoashiria au kuonyesha utukufu wa kila mmoja wao. Mungu asingeweza kuwa wa namna hiyo kama angekuwa nayeye anatumwa. Kristo angekuwa hana maana iwapo kama asingekuwa ametumwa na Mungu.

 

Hatuwezi kushawishika kuamini kwamba Mungu Mwenyezi anaweza kutumwa. Ni nani aliyeko huko juu anayemtuma? Ni nani huyo aliye na haki na mamlaka ya kumwamuru au kumwambia atoke mahali pamoja na aende sehemu nyingine? Ni nani huyo aliye na busara na uwezo wa kumchagulia mahala pa kuketi? Na anawezaje kutii, na huku akiona kwamba yeye yupo kila mahali?

 

Mojawapo kati ya semi za “amini, amini” alizozitumia alipokuwa anasisitiza jambo Bwana wetu ni kwamba mtumwa “sio” mkuu kuliko bwana wake, na wala mtume “sio” mkuu kuliko yeye aliyemtuma (Yohana 13:16). Yeye aliyetumwa mara zote atakuwa ni mdogo kwa yeye aliyemtuma. Kuzaweza kuwa na makubaliano ya pande zote mbili kati ya watu waliosawa, lakini usawa wao unakwisha wakati mmoja wao anapokubali kunyenyekea mwingine kwa ajili ya amri aliyopewa na mwingine.

 

Mwana alikuja hapa duniani ili kuyatenda mapenzi ya yeye aliyemtuma (Yohana 6:38,39,40). Ilikuwa ni chakula chake hikihiki (Yohana 4:34). Ndicho alichokitumia kuwa msingi wa kuwafundishia watu. Aliwaambia, ” Mimi siwezi kufanya neno mwenyewe; kama nisikiavyo ndivyo nihukumuvyo; na hukumu yangu ni ya haki, kwa sababu siyatafuti mapenzi yangu mimi, bali mapenzi yake aliyenipeleka.” (Yohana 5:30). Mungu Mwenyezi mwenyewe hawezi kutumwa na mwingine. Anakwenda kule anakopenda kwenda pasipo kuruhusiwa wala kuzuwiwa, na kama kwa kweli kama angejisemea yeye mwenyewe kwa namna hii, kwa kuwa yeye yupo kila mahali. Yeye anatuma na wala hatumwi. Anaamuru, na hawezi kuamriwa, kwa kuwa hakuma yeyote mwenye mamlaka ya kumpangia majukumu yeye. Kwa uhusino wake na Mungu, Kristo sio Mtumaji na wala hawezi kumtuma Mungu, ila ni Mjumbe aliyetumwa.

 

Mjadala au malumbano yaliyozusha mtafaruku kati ya Bwana wetu na Wayahudi, wakati walipomupmba awaonyeshe ishara, yalituama kwenye utegemezi wake kwenye mapenzi ya Mungu aliyemtuma. Aliwaambia, “Kwa kuwa mimi sikushuka kutoka mbinguni ili niyafanye mapenzi yangu, bali mapenzi yake aliyenipeleka. Na mapenzi yake aliyenipeleka ni haya, ya kwamba katika wote alionipa nisimpoteze hata mmoja, bali nimfufue siku ya mwisho. Kwa kuwa mapenzi yake Baba yangu ni haya, ya kwamba kila amtazamaye Mwana na kumwamini yeye, awe na uzima wa milele; nami nitamfufua siku ya mwisho.” (Yohana 6:38-40). Mapenzi yake mwenyewe yaliwekwa kando kabisa na kufunikwa na mapenzi ya Mungu.

 

Umuhimu na thamani ya uungu

Neno “thamani” au umuhimu limetumika mara nyingi kwa kufikiria kile linachoitwa “Uungu.” Neno “umuhimu” linajulikana kwa wazi sana. Tumekuwa tukitafakari mambo mengi ya muhimu, na kwenye kila mahali Mungu Mwenyezi anatamalaki hayo yote na Bwana wetu Yesu Kristo hastahili. Kwa hiyo, yeye si yeye “mwenye cheo hiki” cha Mungu. Bali yeye ana Mungu, ambaye anamtumiia na kumuabudu. Yeye ni Mlango au daraja, lakini sio Chimbuko au chanzo cha yote. Anahisia na mapenzi yake lakini anawajibika kwa mamlaka iliyo juu yake. Yeye ni Mpokeaji wa maagizo ya yeye aliye juu yake. Ametumwa na kuamriwa nay eye Aliyemkuu zaidi yake. Hakuna hata mmoja kati yao wa kumfananisha au kumlinganisha na Mungu. Mwenyezi hana Mungu, na wala hamuabudu yeyote yule, anavifanya au kuviumba vitu vyote au ni chimbuko la kila kitu, hawajibiki kwa yeyote wala hafanyii kazi mapenzi ya yeyote, yeye hutoa na kutuma, ila hawezi kuamriwa, kwa kuwa yeye ni mwenye enzi na mamlaka yote, na hakuna Mungu mwingine zaidi yake yeye.

 

Ukweli wa kwamba Mwokozi wetu huabudu na kumtukuza Mwingine, kwamba yeye sio Chimbuko la kwanza, na kwamba anawajibika kuyatenda mapenzi ya Mungu, na kwamba anapokea kila kitu toka kwa Baba yake na kwamba anatiwa nguvu kwa mamlaka yake yeye, hampi utukufu wake, bali ni kwa namna moja tu ya kipekee, kwa kuwa huu ni utukufu wake. Yeye ni mtumishi wa Mungu, ila ndiye Anayemdhihirisha. Yeye siye bwana kwake, bali ni Mwombezi wetu. Utukufu wa Mungu upo kwenye ufunuo wa mtu binafsi. Utukufu wa Kristo unatuama kwenye kujikana. Zaidi ya yote, huduma yake ya maombezi au kutuombea imekwisha, kisha ndipo Mwana atavua mamlaka, na sio kuwa mkuu au mwenyezi. Kiwango cha juu na mbali sana cha kipimo cha umbali wa imani kinamkuta yeye kwanza, na sio kwa kujichanganya na Mungu au kushirikiana utukufu wake wa kiuwenyezi, ila ni kwa kujinyenyekeza kwa kukusudia kumfanya Mungu kuwa ni Yote katika yote na ndani ya yote.